Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,760
- 6,320
Arsenal ana ChampionsUmeanza vizuri na ukaharibu hapo hapo. Msako unaofanywa na vitimu vidogo halafu unasema haswa Brighton na Arsenal? Aah bhana. Hakika unamaanisha vitimu vidogo vyenzenu kama Chelkenge na Liverkuku. Brighton na Arsenal ni timu kubwa sana kwenu
League ngapi?
