Hamna hela na Magwaya haondokiTukianza hivi next season siyo mbaya sana. Mpaka Aston Villa anasajili Pau Torres sisi tupotupo tu. Next season ukikaa vibaya points 3 zinaweza kuwa story za kusadikika.View attachment 2673155
Mabilionea wanakosaje pesa sasa 😄Nilisema hili tangu msimu ule tunataka kumsajili Sancho kwa dau la 100, Ole angecheza karata zake vizuri akamhamishia wing ya kulia tu.
Bado Ten Hag hajachelewa amhamishe Bissaka kuwa Defensive midfield Dalot wing ya kulia halafu atafute beki wa kulia sasa.
Aachane na kusubiri hela Glazers hawana hela hao.
Naona habari za De Jong zimeanza kurudi tena taratibu. Tujikumbushe kidogo maneno ya EtH msimu 2022/23.
"I see a big difference in comparison with last year," said Ten Hag.
"There were a lot of reservations last year when I spoke with players and now many players see the project, what's going on, the dynamic and the ambition in this project, the quality especially.
"They are really keen to come, I've noticed that. It looks like there were a lot of reservations last year, a lot of doubts when we approached players. This year, many quality players really want to come."
kwa huyu muhuni bora timu iendelee kubaki tu kwenye mikono ya Glazers.
Sijui kwa nini huaga sina imani na matajiri wembamba.
Yaani huyu mzee kila nikimuona akili yangu inaniambia huyu ni kroenke's Pro max.
Kwamba tajiri mwembamba anajinyima mno ma pizza na ma burger?
Matajiri wa majuu wanakula vizuri Kwa kiasi Kwa afya Ili waishi muda mrefu wakienjoy pesa zao. Sisi huku tukitajirika ni full kujiachia na Bata zote na kufa mapema.
Hata hivyo mkimpata shehe mtaleta ushindani mkubwa sana. Ligi ya England itatawala ulaya sana na tutaendelea kuona fainali za UEFA zikiwa na timu za england Kwa muda mrefu


pamoja na hayo ila matajiri wembamba wengi hua na karoho flani hivi ka kiwakiwaki.
MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI YA STAREHE ILIYO VUNJA REKODI | ICON OF THE SEAS
pamoja na hayo ila matajiri wembamba wengi hua na karoho flani hivi ka kiwakiwaki.
Mimi mwenyewe mara kibao hua nashindwa kufanya kazi na matajiri wembamba.
Watu wako busy kufuatilia burudani ya usajili yeye analeta taarifa za blogu yake isiyo na faida kwetuAcha bhangi sawa, hili sio jukwaa la kupost utoto wako
Wale wako njaa hatari misimu nane iliyopita wametumia hela nyingi sana kununua magarasa halafu hayajalipaMabilionea wanakosaje pesa sasa![]()
Mkuu, Kuna vitu vinakera mpaka unajiuliza haoni jukwaa la kupeleka taarifa yake.Watu wako busy kufuatilia burudani ya usajili yeye analeta taarifa za blogu yake isiyo na faida kwetu
Wanatoa pesa watu wanaleta magarasa halafu wanaambiwa waachie timu hahahahaaaaaWale wako njaa hatari misimu nane iliyopita wametumia hela nyingi sana kununua magarasa halafu hayajalipa