Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tukianza hivi next season siyo mbaya sana. Mpaka Aston Villa anasajili Pau Torres sisi tupotupo tu. Next season ukikaa vibaya points 3 zinaweza kuwa story za kusadikika.
formation_29_06_2023_ 11_17_30.png
 
#Bruno
#Wallpaper

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230629_155040_144.jpg
 
Nilisema hili tangu msimu ule tunataka kumsajili Sancho kwa dau la 100, Ole angecheza karata zake vizuri akamhamishia wing ya kulia tu.

Bado Ten Hag hajachelewa amhamishe Bissaka kuwa Defensive midfield Dalot wing ya kulia halafu atafute beki wa kulia sasa.

Aachane na kusubiri hela Glazers hawana hela hao.
Mabilionea wanakosaje pesa sasa 😄
 
Naona habari za De Jong zimeanza kurudi tena taratibu. Tujikumbushe kidogo maneno ya EtH msimu 2022/23.

"I see a big difference in comparison with last year," said Ten Hag.

"There were a lot of reservations last year when I spoke with players and now many players see the project, what's going on, the dynamic and the ambition in this project, the quality especially.

"They are really keen to come, I've noticed that. It looks like there were a lot of reservations last year, a lot of doubts when we approached players. This year, many quality players really want to come."


Na Sasa mna champions league mmekuwa kivutio Kwa wachezaji wengi
 
At least fagio la chuma linaishia ukingoni
Hiki ndicho kilikuwa kisiki kikubwa, kipenzi cha Lampard, tangu baba yake afukuzwe amekuwa na manung'uniko makubwa ndani ya dresisng room ya Chelsea

Sisemi Mount ni mbaya, akijituma ni mchezaji mzuri sana ila tangu aanze kunung'nikia apewe mshahara sawa na wa james katuondolea morale ya dressing room

Wacha sasa tuanze upya, tutawasajili wazuri kuliko yeye

Mchungeni sana hako kakinda cha Cobham kasije kuwa kuwa ni agent
 
kwa huyu muhuni bora timu iendelee kubaki tu kwenye mikono ya Glazers.
Sijui kwa nini huaga sina imani na matajiri wembamba.
Yaani huyu mzee kila nikimuona akili yangu inaniambia huyu ni kroenke's Pro max.

😂😂😂 Kwamba tajiri mwembamba anajinyima mno ma pizza na ma burger? 😂😂

Matajiri wa majuu wanakula vizuri Kwa kiasi Kwa afya Ili waishi muda mrefu wakienjoy pesa zao. Sisi huku tukitajirika ni full kujiachia na Bata zote na kufa mapema.

Hata hivyo mkimpata shehe mtaleta ushindani mkubwa sana. Ligi ya England itatawala ulaya sana na tutaendelea kuona fainali za UEFA zikiwa na timu za england Kwa muda mrefu
 
Kwamba tajiri mwembamba anajinyima mno ma pizza na ma burger?

Matajiri wa majuu wanakula vizuri Kwa kiasi Kwa afya Ili waishi muda mrefu wakienjoy pesa zao. Sisi huku tukitajirika ni full kujiachia na Bata zote na kufa mapema.

Hata hivyo mkimpata shehe mtaleta ushindani mkubwa sana. Ligi ya England itatawala ulaya sana na tutaendelea kuona fainali za UEFA zikiwa na timu za england Kwa muda mrefu
pamoja na hayo ila matajiri wembamba wengi hua na karoho flani hivi ka kiwakiwaki.
Mimi mwenyewe mara kibao hua nashindwa kufanya kazi na matajiri wembamba.
 
pamoja na hayo ila matajiri wembamba wengi hua na karoho flani hivi ka kiwakiwaki.
Mimi mwenyewe mara kibao hua nashindwa kufanya kazi na matajiri wembamba.

Hawataki wengine wapate 😂😂
 
Back
Top Bottom