Mkuu, Kuna vitu vinakera mpaka unajiuliza haoni jukwaa la kupeleka taarifa yake.Watu wako busy kufuatilia burudani ya usajili yeye analeta taarifa za blogu yake isiyo na faida kwetu
Wanatoa pesa watu wanaleta magarasa halafu wanaambiwa waachie timu hahahahaaaaaWale wako njaa hatari misimu nane iliyopita wametumia hela nyingi sana kununua magarasa halafu hayajalipa
Hili jukwaa lishakuwa mkusanyiko wa vichaaAcha bhangi sawa, hili sio jukwaa la kupost utoto wako


Sure wametumia pesa nyingi sana kwenye usajili ambao hauleti matunda halafu magarasa yanapoletwa hata wakati wa kuondoka hayauziki mpaka yamalize mkatabaWanatoa pesa watu wanaleta magarasa halafu wanaambiwa waachie timu hahahahaaaaa
Wachezaji hewa wameletwa kwa pesa nyingiSure wametumia pesa nyingi sana kwenye usajili ambao hauleti matunda halafu magarasa yanapoletwa hata wakati wa kuondoka hayauziki mpaka yamalize mkataba
Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.Sure wametumia pesa nyingi sana kwenye usajili ambao hauleti matunda halafu magarasa yanapoletwa hata wakati wa kuondoka hayauziki mpaka yamalize mkataba
Hawajawahi kutumia pesa yao kwa usajili inayotumika ni ya klabu ndio maana fans hawawataki kwa sababu hawajawahi kuingiza pesa yao kwa klabu.
Huo ndio wizi sasa mashabiki hawautaki ndio maana tangu 2009 wamkuwa against nao.Sasa Kwa nini waingie mufukoni mwao wakati timu ina billions zimejaa benki na inajitosheleza?
Nadhani lengo kuu la wafanyabiashara wa hivi ni kuchota mshiko zaidi kuliko kuwekeza zao. Kama kina Kroenke kwetu. Ila Kuna wale wanaotaka faraja za makombe kama kina Abramovich ambao watakopesha club pesa zao binafsi kuhakikisha mafanikio yanapatikana kwanza halafu walipwe na club baadae
Uyu mchele rice ndo alichambuliwa sana na kinda garnacho hapa mmepigwaKuna watu hamtaleta timu uwanjani msimu ujao View attachment 2672600


Timu la vilaza


vilaza wamekamata nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi, yaani Uefa hawapo, Europa hawapo, conference hawapo tena ilikua patupatu washuke daraja msimu huu waende kucheza championship.Antony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performanceMtihan kwa 7hag , atamtumiaje mount alete impact au atageuka Anthony mwingine
Na ameshapewa salary ya £250k/p
Hio kitu ndio inamkera kwelikweli Sheikh Jassim, yeye anaitaka Man Utd kwa mapenzi tu aliyokua nayo kwa club sio kibiashara, hafikirii kabisa faida ya kipesa atakayoipata toka Utd ila anaumiza kichwa kufikiria Utd itafaidika vipi na pesa zake.Sasa Kwa nini waingie mufukoni mwao wakati timu ina billions zimejaa benki na inajitosheleza?
Nadhani lengo kuu la wafanyabiashara wa hivi ni kuchota mshiko zaidi kuliko kuwekeza zao. Kama kina Kroenke kwetu. Ila Kuna wale wanaotaka faraja za makombe kama kina Abramovich ambao watakopesha club pesa zao binafsi kuhakikisha mafanikio yanapatikana kwanza halafu walipwe na club baadae
Mnapoteza muda ,hiyo RW mpeni Sancho ,na aaminiwe kwamba hiyo ndio nafasi yake ,alishafanya hivo BVB akipiga G/A 25+ karibu misimu miwili , hata UCL aliwatungua mancityAntony ni takataka ile inajipiga vyenga halafu inaua mashambulizi muda wote na guu lake la mavi,kule right wing ningependa siku moja kocha atuletee Pedro Goncalves chuma kinapiga 7 na 10 katika top performance