hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,653
Tusidanganyanye, hakuna mashabiki wasiopenda mpira mzuriVipi sisi tusiopenda mpira wa mbwembwe nyiiingi kuliko counter attacks football matokeo tu, unatusaidiaje Shabiki kindaki ndaki la Arsepimbi?
Au hujui kuwa Watu tuko zaidi ya B 8 duniani kasoro M 200, kwanini tufanane kupenda soka la aina 1?
Hakuna mashabiki wanaopenda muda wote kubana mapumb*
Yaani unataka kusema Kuna mashabiki wanapenda muda wote timu Yao kupumuliwa?
Kuna shabiki wa Manjesta humu alinidanganya anapenda mpira wa kupumuliwa na kuvizia kaunta
Walipocheza na Spurs ya Conte ,Kama kawaida Conte akapaki Basi, Manjesta wali flow Sana walipiga Soka Safi ile mechi
Kuja humu na Twitter wanafurahia soka Safi na kusifu kwa mapambio










Nicky Butt on Ten Hag: “He is a top coach and he looks like he is born for Old Trafford.”