hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.
Halafu analaumu wachezaji.
Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte
Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.
Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida










Nicky Butt on Ten Hag: “He is a top coach and he looks like he is born for Old Trafford.”