Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.

Halafu analaumu wachezaji.

Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte

Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.

Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida
 
Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.

Halafu analaumu wachezaji.

Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte

Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.

Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida
Vipi sisi tusiopenda mpira wa mbwembwe nyiiingi kuliko counter attacks football matokeo tu, unatusaidiaje Shabiki kindaki ndaki la Arsepimbi?

Au hujui kuwa Watu tuko zaidi ya B 8 duniani kasoro M 200, kwanini tufanane kupenda soka la aina 1?
 
Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.

Halafu analaumu wachezaji.

Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte

Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.

Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida
Tottenham Wazee wengi sana kuliko Vijana l, wasafishe walete makinda kama ilivyofanya Chelsea FC la sivyo Kocha hata akiwa Malaika bado tu hawatachukua vikombe zaidi ya kumfukuza tu.
 
Vipi sisi tusiopenda mpira wa mbwembwe nyiiingi kuliko counter attacks football matokeo tu, unatusaidiaje Shabiki kindaki ndaki la Arsepimbi?

Au hujui kuwa Watu tuko zaidi ya B 8 duniani kasoro M 200, kwanini tufanane kupenda soka la aina 1?
Tusidanganyanye, hakuna mashabiki wasiopenda mpira mzuri

Hakuna mashabiki wanaopenda muda wote kubana mapumb*

Yaani unataka kusema Kuna mashabiki wanapenda muda wote timu Yao kupumuliwa?

Kuna shabiki wa Manjesta humu alinidanganya anapenda mpira wa kupumuliwa na kuvizia kaunta

Walipocheza na Spurs ya Conte ,Kama kawaida Conte akapaki Basi, Manjesta wali flow Sana walipiga Soka Safi ile mechi

Kuja humu na Twitter wanafurahia soka Safi na kusifu kwa mapambio
 
Tottenham Wazee wengi sana kuliko Vijana l, wasafishe walete makinda kama ilivyofanya Chelsea FC la sivyo Kocha hata akiwa Malaika bado tu hawatachukua vikombe zaidi ya kumfukuza tu.
Chelkenge na hao vijana mbona Bora Spurs ya wazee

Si wamekubutueni 2-0 juzi juzi hapa

Vijana wenyewe hawa kina muddy?
IMG_20230326_195814.jpg
 
If arsenal lose to Tottenham and we beat crystal Palace on Wednesday and beat arsenal on Sunday we will be level on points 👉 who else remember this poem 😂😂
 
Tusidanganyanye, hakuna mashabiki wasiopenda mpira mzuri

Hakuna mashabiki wanaopenda muda wote kubana mapumb*

Yaani unataka kusema Kuna mashabiki wanapenda muda wote timu Yao kupumuliwa?

Kuna shabiki wa Manjesta humu alinidanganya anapenda mpira wa kupumuliwa na kuvizia kaunta

Walipocheza na Spurs ya Conte ,Kama kawaida Conte akapaki Basi, Manjesta wali flow Sana walipiga Soka Safi ile mechi

Kuja humu na Twitter wanafurahia soka Safi na kusifu kwa mapambio
Manjesta

Manchesta

Pia tusipangiane namna ya kupenda vitu, tangu lini kumiliki mpira ndiyo kuwa na uhakika wa matokeo chanya 100%?

Unajua filosofi za uchezaji football katika vilabu mbali mbali duniani ziko tofauti kabisa?

Yani filosofi ya soka la Barcelona ulilazimishe kuchezwa na kuzoeleka Real Madrid, hivi kweli unaelewa unachokitetea?
 
Chelkenge na hao vijana mbona Bora Spurs ya wazee

Si wamekubutueni 2-0 juzi juzi hapa

Vijana wenyewe hawa kina muddy?View attachment 2567490
Chelsea FC wameshatengeneza football chemistry kwa muda gani wakiwa na wachezaji wapya makinda tangu wasajiliwe katika klabu ya Chelsea?

Upeo wako unaleta mashaka sana, inamaana Everton walivyokushushia kipondo kitakatifu 1-0 Arsepimbi 04/02/2023 ndiyo imekuwa timu bora kabisa EPL kuliko Arsepimbi?

Nina wasiwasi na dishi lako(brain capacity)...
 
Manjesta

Manchesta

Pia tusipangiane namna ya kupenda vitu, tangu lini kumiliki mpira ndiyo kuwa na uhakika wa matokeo chanya 100%?

Unajua filosofi za uchezaji football katika vilabu mbali mbali duniani ziko tofauti kabisa?

Yani filosofi ya soka la Barcelona ulilazimishe kuchezwa na kuzoeleka Real Madrid, hivi kweli unaelewa unachokitetea?
Wapi nimesema filosofi ya barcelona?

Brighton ,Napoli wanacheza filosofi ya barcelona?

Unaielewa modern football kweli wewe mshabiki wa chelkenge?

Unataka kusema lile pira magimbi la Potter mnalifurahia?
View attachment 2567579
 
Chelsea FC wameshatengeneza football chemistry kwa muda gani wakiwa na wachezaji wapya makinda tangu wasajiliwe katika klabu ya Chelsea?

Upeo wako unaleta mashaka sana, inamaana Everton walivyokushushia kipondo kitakatifu 1-0 Arsepimbi 04/02/2023 ndiyo imekuwa timu bora kabisa EPL kuliko Arsepimbi?

Nina wasiwasi na dishi lako(brain capacity)...
Chelkenge toka msimu unaanza mmesajili January mkasajili, Cha ajabu hatuoni Chemistry Wala Biology

Kikosi Cha €500m unataka chemistry ya wapi?

Msimu unaisha huu bado mnasaka biology na chemistry?

Pale timu huna ,kocha huna

Spurs kakubomoa na wazee wake na yupo kugombea top 4 , wewe unagombea usishuke daraja

Unafananishaje huu mfano na Everton kumfunga Arsenal
 
Wapi nimesema filosofi ya barcelona?

Brighton ,Napoli wanacheza filosofi ya barcelona?

Unaielewa modern football kweli wewe mshabiki wa chelkenge?

Unataka kusema lile pira magimbi la Potter mnalifurahia?
View attachment 2567579
We nani hadi utusemee sisi Mashabiki wa Chelsea FC kuwa hatufurahii filosofi ya soka letu la Chelsea FC?

Mbona pira hilo hilo chini ya Thomas Tuchel tulitwaa nalo ubingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE mbele ya pira biriani la Mwa-City, UEFA SUPER CUP na WORLD CLUB CUP?

Vipi Arsepimbi mmetwaa kombe gani kati ya hayo makombe niliyoorodhesha hapo chini ya TT kwa pira la kaunta ataki?
 
Chelkenge toka msimu unaanza mmesajili January mkasajili, Cha ajabu hatuoni Chemistry Wala Biology

Kikosi Cha €500m unataka chemistry ya wapi?

Msimu unaisha huu bado mnasaka biology na chemistry?

Pale timu huna ,kocha huna

Spurs kakubomoa na wazee wake na yupo kugombea top 4 , wewe unagombea usishuke daraja

Unafananishaje huu mfano na Everton kumfunga Arsenal
Kweli Taahira hajawahi kujitambua kabisa, Chelsea FC haina Kocha ila Wachezaji tu wamejaa tele wenye vipaji mnaowatamani sana Arsepimbi lakini tatizo ni chapaa tu, pambana na hali yako Arse8
 
We nani hadi utusemee sisi Mashabiki wa Chelsea FC kuwa hatufurahii filosofi ya soka letu la Chelsea FC?

Mbona pira hilo hilo chini ya Thomas Tuchel tulitwaa nalo ubingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE mbele ya pira biriani la Mwa-City, UEFA SUPER CUP na WORLD CLUB CUP?

Vipi Arsepimbi mmetwa kombe gani kati ya hayo makombe niliyoorodhesha hapo chini ya TT kwa pira la kaunta ataki?
Naona umepaniki sana, Najua mna stress sana

Ngoja nikuache usije kujiua bure
 
Kweli Taahira hajawahi kujitambua kabisa, Chelsea FC haina Kocha ila Wachezaji tu wamejaa tele wenye vipaji mnaowatamani sana Arsepimbi lakini tatizo ni chapaa tu, pambana na hali yako Arse8
Umekosa hoja umeanza matusi ,naona ushapaniki ,Najua una stress
 
Back
Top Bottom