Anachoogopa hamis77 na wenzake ni kwamba akichukua muarabu timu itarudi enzi za Ferguson na pengine kuzidi kabisa hivyo tabu yao itarudi pale paleMashabiki wa Man U wanamtaka Muarabu, Garry Neville alifanya Poll kwa Mashabiki wanaoenda uwanjani.
Speaking on the Gary Neville Podcast, the former Manchester United captain revealed he had polled a group of the club's supporters on Sunday and found the majority preferred the bid from the Qataris, over the offer from Ratcliffe - which could involve debt - or from an American investment firm.
There was significant condemnation of Qatar's human rights, workers' rights and stance on the LGBTQ+ community ahead of the World Cup and the bid from Sheikh Jassim has sparked debate about whether it is appropriate for him to become owner of Manchester United.
![]()
"There is some concern," he said. "[But] they want a debt-free club. They've become harmed mentally by debt, Man Utd fans, over these last few years.
"There's a feeling they want an ownership that can compete with the Middle East estates we have in this league, which is Saudi Arabia at Newcastle and Abu Dhabi at Man City.
Ratcliffe ana issue 2
1. Anamiliki timu inaitwa Nice ipo ufaransa na Hana tofauti na Glazzer anaiendesha ovyo
2. Hana hela ya kuinunua United anategemea Mkopo, amesema mkopo hatauingiza kwenye Club ila still Timu ina deni la kutosha na Ineos ni kampuni sioni hawa jamaa wakilipa deni na kutochukua Hela za Club





Anachoogopa hamis77 na wenzake ni kwamba akichukua muarabu timu itarudi enzi za Ferguson na pengine kuzidi kabisa hivyo tabu yao itarudi pale pale![]()







Hapana bhana ,Kuna kura zilipigwa na mashabiki wa Scandinavian nadhan aliongoza Sir Jim na Kuna mashabiki wengi wa ManjestaAnachoogopa hamis77 na wenzake ni kwamba akichukua muarabu timu itarudi enzi za Ferguson na pengine kuzidi kabisa hivyo tabu yao itarudi pale pale![]()
#mufc’s April fixtures: 










Kwn huyu ni forward huko kwao?Ralf Rangnick: “Sabi's performance was outstanding [vs Azerbaijan]. He’s simply a player with a lot of quality. I think the change [loan move to Man Utd] did him good. He is literally flourishing, is very, very good. He has a lot more confidence than when he was at Bayern.”
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2566861
HapanaKwn huyu ni forward huko kwao?

“Manchester United wanted a loan with an option to buy deal, Fiorentina rejected”.









Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.
Vipi sisi tusiopenda mpira wa mbwembwe nyiiingi kuliko counter attacks football matokeo tu, unatusaidiaje Shabiki kindaki ndaki la Arsepimbi?Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.
Halafu analaumu wachezaji.
Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte
Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.
Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida
Tottenham Wazee wengi sana kuliko Vijana l, wasafishe walete makinda kama ilivyofanya Chelsea FC la sivyo Kocha hata akiwa Malaika bado tu hawatachukua vikombe zaidi ya kumfukuza tu.Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.
Halafu analaumu wachezaji.
Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte
Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.
Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida