hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,660
- 27,509
Chelkenge na hao vijana mbona Bora Spurs ya wazeeTottenham Wazee wengi sana kuliko Vijana l, wasafishe walete makinda kama ilivyofanya Chelsea FC la sivyo Kocha hata akiwa Malaika bado tu hawatachukua vikombe zaidi ya kumfukuza tu.
Si wamekubutueni 2-0 juzi juzi hapa
Vijana wenyewe hawa kina muddy?