Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,076
- 12,302
Unawaza kumuuza tena?Garnacho akiendelea na kiwango hiki namuona akienda madrid kwa dau kubwa
Unawaza kumuuza tena?Garnacho akiendelea na kiwango hiki namuona akienda madrid kwa dau kubwa
Kwa upande wangu nitakua mtu wa mwisho kuukubali uzuri wa huyo Ghost.Kuna mashabiki wanafiki humu sijapata kuona.
Ooooh Ghost hajui lolote lile lile ni garasa tu mkataba uishe arudi mtaani akachome mahindi.
Ooooh AWB hana kitu ni uchochoro tu anasindikiza wafungaji tu.
Na maneno mengine mengi.
Kesho yake
Ghost ni nomaaaaaaaa
AWB akapoteza Maximim mpaka kawa Minimum
Tuliwakazia Jesse Ling's ila aliwafaa sana kipindi kile alirudi kwenye ubora tulipompeleka kaa mkopo,naona ni muda wa kuwaachia kwa sasa.Wawachukue wote hao ndio viwango vyao vinaruhusu kucheza huko.
Sure talk,haya maswala mtu kurusha throw in inatumia dakika 2 yaishe.Kuwe na saa ambayo mpira ukisimama kwa namna yoyote ile saa nayo inasimama na wakifanikiwa hilo basi waondoe dakika za nyongeza.
Greenwood habari yake ishaisha hata Southgate kasema hatomwita timu ya taifa.Huu nao ni moto mwingine baada yaa Rashford, Greenwood na Garnacho. Academy ya man u huwa inatoa watu wazuri sana huwa naumia sana kumpoteza Januzay na sasa naona kama kuna dalili za kumpoteza Greenwood.
Sanchoka wa $100Picha hazihitaji captionView attachment 2537331View attachment 2537330




