DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,877
Nyinyi mmefungwa 7 kwa 0
No kufutia machozi,na watu wameondoka na cleansheet
7 nyingi bwana
Nyinyi mmefungwa 7 kwa 0
Tulizidiwa hafu nataka mni jibu mnaenda Kufanya nini Uefa kwa aibu hii mnayoleta?Hivi mnagongwaje saba lakini????makusudi au???maana hata kahaba anayejiuza hawezi kukubali huo ujinga
Wewe ni mbwakoko Barcelona ya Messi ilikula 8 dhidi ya Bayern Munich tatizo lako huna akili mjinga weweHivi mnagongwaje saba lakini????makusudi au???maana hata kahaba anayejiuza hawezi kukubali huo ujinga
mnaingiza tim uwanjani ili mfanyaje sasa kama mmepigwa bao 7 bila kujitetea ii ni haibu n'gosiWewe ni mbwakoko Barcelona ya Messi ilikula 8 dhidi ya Bayern Munich tatizo lako huna akili mjinga wewe
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app

Haibu ndy Nini?mnaingiza tim uwanjani ili mfanyaje sasa kama mmepigwa bao 7 bila kujitetea ii ni haibu n'gosi![]()
Kwa Lugha rahisi ni kuwa "Brandon Williams amenyakwa na kamera akivuta hewa toka kwenye Puto karibu na uwanja wa mazoezi wa Man United"What does this mean mkuu.
Nimeachwa hapo sijaelewa












Christian Eriksen could be back in action for #mufc as early as next weekend. He could make the bench for the United's Premier League game at home to Everton a week on Saturday.



