Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

c34cb4f3-cc92-4365-b6b8-8c258d690611.jpg
 
Hebu subirini.

Hivi kuanzia 2018 kuna msimu United hajapigwa kuanzia 5 kuja juu hebu kumbukeni vizuri.

Haya majinga yamezoea yaani hapo roho haiumi
 
Usitetee upumbavu Mkuu nikulize gemu yetu na West Ham bissaka hakucheza, lakin why Leo asingeanzishwa ili huyo dalot apumzike! Ten hag na bichwa lake Kama fuvu la dagaa hua cjui anasisimizi kichwani maana hii gemu amechangia pakubwa kufungwa goli hizi za kudhalilisha.
Mkuu kubali kuwa mpira matokeo yake yanapatikana uwanjani kifupi wachezaji wetu wamechoka sana na pia leo sisi hatukuwa na bahati maana sisi ndio tulianza kupata nafasi tukachezea lakini angalia Liver kila mpira wataopiga golini kwetu unazaa goli tukubali kuwa tumebaki na makombe mawili tuheshimu wenzetu tuache hasira hii game Liver walikuwa na hamu nayo kuliko sisi.
 
Man u inacheza watu wote wana huzuni.


Genge la wahuni limepigwa na kitu kizito😅😅😅
 
Back
Top Bottom