Mende wa leo kacharuka kaona kabati peke yake halitoshi kaamua kuangusha na kitandaTumaini huyuhuyu wa kiwewe?



Usitetee upumbavu Mkuu nikulize gemu yetu na West Ham bissaka hakucheza, lakin why Leo asingeanzishwa ili huyo dalot apumzike! Ten hag na bichwa lake Kama fuvu la dagaa hua cjui anasisimizi kichwani maana hii gemu amechangia pakubwa kufungwa goli hizi za kudhalilisha.Wachezaji wetu wanaonesha kuchoka sana na hizi mechi mfulululizo tusilaumu mtu hapa.