Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[h=2][/h]

mambo yanapokwenda mrama inabidi wengine tuingie mitini hadi yatakapotengemaa............

Ambatanisha na barua hii;

ImageUploadedByJamiiForums1391349081.781880.jpg
 
you are taking man u too much serious while the managger of man u dm is not serious enough so y should i,ok back to the topic kuuliza si ujinga nitoe ujinga moyes amecheza mpira au hajacheza na kama alicheza ilikuwa na. Ngapi??

Hahahhaahha....
#DaudiMuya is the #ChosenOne banaaa....
Yeye ndiye 'usajili' wa mwisho wa Sir Fergie!!!
 
You can sign all world class players You like....But without a competent manager...there will be NO SUCCESS!!!

Who is a competent manager? How is the competency measured?

Would you say Arsene Chenga was competent to take Goons when he came from nowhere? If he was, how did the goons' board measure his competency?

Would you also question Pellegrini's competency? Let me put the question this way, was Pellegrini competent for Shitty? How do you measure his competency?
 
Naona mlivyojazana humu, mnadhiirisha usemi wangu, kwamba mashabiki wengi ufurahia United kufungwa kuliko wanavyofurahi timu zao zikishinda!

Na kuna watu walisema hawaongei na walio nje ya top 4; lakini ajabu wao ndio wamejazana kwenye jukwaa la timu "inayopigania relegation".

Anyway, furaha yenu ndio chachu ya kunifanya nizidi kuipenda #ManUnited

Na mnatamani kweli DM afukuzwe; mimi nawaambia, mtasubiri sana. DM ndo keshafika.
 
Daah! Man Utd.. wakati mgumu huu!

Mambo yatakaa sawa tu mdada.

DM anapaswa awe na kikosi chake ndipo tuanze kumrushia mawe.

Halafu, inabidi aaache unazi wa 'uingereza'; ukiangalia Shitty, first 11, ukimtoa Hart, hakuna mchezaji mwingereza.

Sasa itakapofika summer, katika overhauling ya timu, asiweke uingereza wake. Alete vifaa (Kama vile Vidal, Kroos, Reus, Gundogan, Koke, Herrera, Mangala, Fernando, Ribeiro n.k.). Hapo ndipo atakapokuwa na timu yake sasa.

Hii ya mchawi wa ukocha, SAF, ni vigumu mno kumbebesha lawama.
 
Daah! Man Utd.. wakati mgumu huu!

Aise .... ..... .... kufungwa kubaya chacha nachikia
Wine Romney katingisha kiberiti kama kimejaa kumbe kiko tupu kakwapua signature na mpunga wa laki tatu za malkia kwa wiki khe khe khe khe kjheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo ...... ... .... Judas naye anaona niaje aanze na yeye kutingisha?

BTW BJ usijali sana hawa mashoga dawa yake ni kuachana nao tu ..... ........ ....... nachikia Nzi kapata harufu ya uvundo ndio chababu habanduki hapo ..... ... si unajua tena shombo ikizidi he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Naona mlivyojazana humu, mnadhiirisha usemi wangu, kwamba mashabiki wengi ufurahia United kufungwa kuliko wanavyofurahi timu zao zikishinda!

Na kuna watu walisema hawaongei na walio nje ya top 4; lakini ajabu wao ndio wamejazana kwenye jukwaa la timu "inayopigania relegation".

Anyway, furaha yenu ndio chachu ya kunifanya nizidi kuipenda #ManUnited

Na mnatamani kweli DM afukuzwe; mimi nawaambia, mtasubiri sana. DM ndo keshafika.

Khee DM kishafika? Aisee mna roho ngumu sana
 
Naona mlivyojazana humu, mnadhiirisha usemi wangu, kwamba mashabiki wengi ufurahia United kufungwa kuliko wanavyofurahi timu zao zikishinda!

Na kuna watu walisema hawaongei na walio nje ya top 4; lakini ajabu wao ndio wamejazana kwenye jukwaa la timu "inayopigania relegation".

Anyway, furaha yenu ndio chachu ya kunifanya nizidi kuipenda #ManUnited

Na mnatamani kweli DM afukuzwe; mimi nawaambia, mtasubiri sana. DM ndo keshafika.

......mnh! #DaudiMuya asipokutoa Roho mwaka huu basi japo Mvi atazijaza kichwani mwako babbaake!
 
......mnh! #DaudiMuya asipokutoa Roho mwaka huu basi japo Mvi atazijaza kichwani mwako babbaake!

Kumbe DM ni mtoa roho, sikujua! Kama Arsene Chenga ameshindwa kukutoa roho kwa kuwa na uchu wa kikombe, hata cha bilauli, kwa miaka 9, basi hakika DM hawezi kuwa mtoa roho!
 
hivi moyes ana historia ya kucheza mpira?? Maana inawezekana ikawa tunamuonea bure kumbe mpira kausomea tu ukubwani.anatupa tabu sisi ambao toka tumezaliwa tunacheza mpira .

Morinyo hajacheza kabisa mpira but still amepata mafanikio kwenye ukocha.David Moyes amecheza soka
 
You can sign all world class players You like....But without a competent manager...there will be NO SUCCESS!!!

Di Matteo hakuwa Competent Manager lakini alibeba UEFA Champs League kazi ambayo Competent Manager menu(Mr Bean) ameshindwa kwa miaka yake yote ya ukocha
 
Di Matteo alijua utamaduni wa Chelsea; amecheza timu hiyo pia anajua timu ili ishinde inahitaji mambo gani.
Nyinyi majirani zetu poleni sana DMOYES, hajui .. mngekuwa na Steve Bruce, Eric Cantona au Mark Hughes hali ingekuwa tofuati kwa sababu hao wanajua United huwa inafanyaje kushinda; poleni ndo mpira kuna wakati unakua juu kuna wakati unabaki chini;
Di Matteo hakuwa Competent Manager lakini alibeba UEFA Champs League kazi ambayo Competent Manager menu(Mr Bean) ameshindwa kwa miaka yake yote ya ukocha
 
Back
Top Bottom