Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The winner is .........

article-0-1B20B74800000578-596_634x427.jpg



Wine Romney .... ..... .....
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
article-0-19D93ACC00000578-692_634x458.jpg



After 21 years .... ..... ....




article-2550902-1B2183DC00000578-143_306x423.jpg


Mo no delivers ... .... ... .

 
Hiyo habari Ando kaikanusha, hasa juu ya wachezaji kutaka kuondoka. Ila ni kweli yeye anataka kubakia Firenze.

Kakanusha kisa bado analipwa ila ngoja akamilishe uhamisho permanent atasema yote...!
 
Kakanusha kisa bado analipwa ila ngoja akamilishe uhamisho permanent atasema yote...!

Anderson ameangukia kwenye kundi la wachezaji wa kibrazil ambao wameshindwa kufika kwenye peak ambayo walipaswa kufika kwa sababu ya starehe.Anaangukia kundi la kina Robinho,Adriano
 
Kakanusha kisa bado analipwa ila ngoja akamilishe uhamisho permanent atasema yote...!

Yeah, Kakanusha lakini hawezi kuwa mchezaji wa kwanza kukanusha alichokisema ili kulinda maslahi na sura yake. vile vile unaweza kukuta kuna ukweli furani. Lazima patakuwa na wachezaji wasio na furaha hasa ukizingatia mwenendo wa Man utd msimu huu, pia wachezaji wasiopati namba eg Nani, Kagawa watakuwa wanawaza la kufanya msimu ujao.
 
Yeah, Kakanusha lakini hawezi kuwa mchezaji wa kwanza kukanusha alichokisema ili kulinda maslahi na sura yake. vile vile unaweza kukuta kuna ukweli furani. Lazima patakuwa na wachezaji wasio na furaha hasa ukizingatia mwenendo wa Man utd msimu huu, pia wachezaji wasiopati namba eg Nani, Kagawa watakuwa wanawaza la kufanya msimu ujao.

Sasa kama unafahamu kakanusha, mbona hukuja ku-update post yako hipocrita?

"Lazima patakuwa na wachezaji hawana furaha", wewe umejuaje?

Nani ni majeruhi...Kagawa uwa anapewa nafasi anaitumia vibaya...jamaa ni mkali mno, ila ni kama mfumo wa United umemkataa....DM kampa sana mechi, lakini hafanyi vizuri sana kama inavyotarajiwa.....ila agent wake juzi alisema Shinji hana mpango wa kuondoka United...

Hivi, wachezaji wa goons wana furaha kweli kwa kukaa miaka 9 bila kikombe hata cha chai?!?
 
Sasa kama unafahamu kakanusha, mbona hukuja ku-update post yako hipocrita?

"Lazima patakuwa na wachezaji hawana furaha", wewe umejuaje?

Nani ni majeruhi...Kagawa uwa anapewa nafasi anaitumia vibaya...jamaa ni mkali mno, ila ni kama mfumo wa United umemkataa....DM kampa sana mechi, lakini hafanyi vizuri sana kama inavyotarajiwa.....ila agent wake juzi alisema Shinji hana mpango wa kuondoka United...

Hivi, wachezaji wa goons wana furaha kweli kwa kukaa miaka 9 bila kikombe hata cha chai?!?

Naona life ya kushabikia na kufuatilia Man utd ni very stressfull. Jazba kibaooo
 
Naona life ya kushabikia na kufuatilia Man utd ni very stressfull. Jazba kibaooo

Could it be more stressful than staying 9 years chasing shadows of EPL, UCL, FA and even LC champions?!?
 
Could it be more stressful than staying 9 years chasing shadows of EPL, UCL, FA and even LC champions?!?

Nyie mlikuwa mnabebwa na marefa na SAF kupigapiga simu FA,mwaka huu ndo tutajua ukweli.........
 
Nyie mlikuwa mnabebwa na marefa na SAF kupigapiga simu FA,mwaka huu ndo tutajua ukweli.........

Punguza pumba kuwafunga Arsenal goli 6,au 8 hautaji kubebwa nafikiri Man City amewafunga tena sijui nao waliwapigia simu marefa.Morinyo alikuja akabeba ubingwa mara 2 akaondoka amerudi tena Wenger bado anasindikiza,Soon mtafata nyayo za Liverpool
 
Punguza pumba kuwafunga Arsenal goli 6,au 8 hautaji kubebwa nafikiri Man City amewafunga tena sijui nao waliwapigia simu marefa.Morinyo alikuja akabeba ubingwa mara 2 akaondoka amerudi tena Wenger bado anasindikiza,Soon mtafata nyayo za Liverpool

Acha kuweweseka wewe Man U ndio wanaofuata nyayo za liverpool beilieve it or not mnaanza kuchezea nafasi ya saba tu na sasa hivi mtaanza kutulezea historia ileile kama ya liverpool kwamba mnaongoza kwa kuchukua vikombe but at the end of the day Namba 7 ni yenu tu.
So ni ukweli kuwa mnafuata nyayo za liverpool na mpaka mje kugundua hilo itakuwa ni baadae sana.
 
Kwa nini siku hizi Man Utd fans hamji na football predictions kama last seasons, Kulikoni?

CC Belo, Nzi, DonDonald
 
Acha kuweweseka wewe Man U ndio wanaofuata nyayo za liverpool beilieve it or not mnaanza kuchezea nafasi ya saba tu na sasa hivi mtaanza kutulezea historia ileile kama ya liverpool kwamba mnaongoza kwa kuchukua vikombe but at the end of the day Namba 7 ni yenu tu.
So ni ukweli kuwa mnafuata nyayo za liverpool na mpaka mje kugundua hilo itakuwa ni baadae sana.

Liverpool hawajachukua EPL miaka 25,Arsenal hawajabeba EPL miaka 9
Man United ndio bingwa mtetezi huenda wasichukue ubingwa msimu huu,na msimu huu wamebadilisha kocha.Kama unajuwa hesabu jibu liko wazi nani anafuata nyayo za Kop.Tatizo Mr Bean amewaziba macho mmekuwa blind hamuoni hilo,mnaona kumaliza namba 3 au 4 ni sawa na ubingwa
 
Liverpool hawajachukua EPL miaka 25,Arsenal hawajabeba EPL miaka 9
Man United ndio bingwa mtetezi huenda wasichukue ubingwa msimu huu,na msimu huu wamebadilisha kocha.Kama unajuwa hesabu jibu liko wazi nani anafuata nyayo za Kop.Tatizo Mr Bean amewaziba macho mmekuwa blind hamuoni hilo,mnaona kumaliza namba 3 au 4 ni sawa na ubingwa

nimesikia kwamba moyes ndani ya mkataba wake kwamba kuna sharti kwamba ndani ya miaka miwili walau achukue kombe hata moja msimu wa kwanza ajenge timu na msimu wa pili achukue taji,hii kitu nimeisikia kijiweni kwangu huku mtaani mimi sijawahi kukutana nayo naomba unithibitishie hili kama na ww unafahamu tafadhali
cc : Nzi
 
Last edited by a moderator:
moyes ataishia kufukuzwa tu ..man utd hawakuwa na weledi kumpa timu kocha kilaza kama moyes
 
suluhisho ni kusajili mbuyi twite na chuji wasaidiane pale kati
 
Back
Top Bottom