Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaa hii imenifurahisha sanaaaaaa....tuiingize kwenye mtaaala

tumwagize mkuu Nzi aipeleke kwenye taasisi ya kiswahili kwanza,ikipita tuipeleke baraza la mitihani iwe swali la lazima kila mwaka kwenye somo la kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
hivi moyes ana historia ya kucheza mpira?? Maana inawezekana ikawa tunamuonea bure kumbe mpira kausomea tu ukubwani.anatupa tabu sisi ambao toka tumezaliwa tunacheza mpira .
Wewe unajua vigezo gani vilitumika kumwajiri Moyes kuwa kocha wa Man United?
Uliza uambiwe.
 
Wanaosema Mata mbona hajafanya kitu, nahisi walikuwa hawaangalii gemu...Mata ndiye MOTM kwa United leo....kila mpira ulikuwa unapelekwa kwake....kuna chances nyingi alipewa Welbeck, lakini alifanya madudu....Cleverly alipewa pasi dakika za majeruhi, akabutua...

Ingawa, ni kweli kuumia kwa Evans na Jones kulivuruga timu...na DM kumuingiza Welbeck kama mbadala wa Jones ilikuwa ni kosa kubwa mno...pale angeingia Darren....ili Darren angeenda pale CB, na Carrick angebaki CM, ili Rooney awe mbele....Rooney alivyorudi pale CM, basi mambo yote yakafa....

Pamoja na makosa ya leo, bado nina imani kubwa na isiyotetereka kwa DM....bado naamini yeye ni chaguo sahihi kama meneja wa United....ataweka mambo sawa tu...ingawa kama mashabiki tutapitia wakati mgumu mno....

kaka una roho ngumu kama zombie!
 
Na hapo goons nani aje kuokoa jahazi? Miaka 9 sasa, patupu. Imarati, neno, kombe la ubingwa, halipo kwenye msamiati, ati!


Manure walikaa miaka 50 khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Of course, it is apparent that #JuanUnitedMata isn't the complete solution, but his sign was just to send a message to those who have been saying United can't attract top class players...and also it was for lifting moral and support from the players and fans....
....
You can sign all world class players You like....But without a competent manager...there will be NO SUCCESS!!!
 
Akili za Mzee Akilimali hizi.

you are taking man u too much serious while the managger of man u dm is not serious enough so y should i,ok back to the topic kuuliza si ujinga nitoe ujinga moyes amecheza mpira au hajacheza na kama alicheza ilikuwa na. Ngapi??
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Methali methali:ikishinda ya 7 ikifungwa ya 7???

Hahahhhahaaa!!!
Nzi akikusikia aisee.....

ImageUploadedByJamiiForums1391332113.240722.jpg
 
Last edited by a moderator:
Naomba ruhusa ya kunakili hiyo methali kwenye twita akaunti yangu...hahahahahahahahhahahaha
 
Back
Top Bottom