Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kweli ubovu wa Moyes uko kwenye kufanya substitution ingawa bado tuna imani nae sana. Fletcher alikuwa mtu sahihi sana baada ya Jones kuumia

Ni kweli leo alichemsha subs....lakini kuchemsha kwake katika subs hakumfanyi kuwa hafai kuwa kocha wa United!

Pamoja na udhaifu wetu leo, hata hivyo pongezi ziende kwa Stoke, jamaa wanajua kufight hapo kwao, Chelskis mwenyewe alilala hapo dakika za majeruhi...hiyo aina maana nakubaliana na matokeo, la hasha...matokeo yanauma sana ukizangatia Everton wameshinda....anyway, realistically, sasa ni kufight for a 4th position to the death....6 points or 9 points if Loserfools win kesho, inawezekana kuziclose....itabidi tuchukue uzoefu wa akina Mbu na mwana mpotevu BAK katika kufight kwa 4th place....ni ukweli unaouma, lakini inabidi iwe hivyo katika kujipanga kwa msimu ujao...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dude what's your point? Did you read my post well?

I said DM needs 3 seasons for pundits to judge him...he needs to have his own players in a team....that should start next summer...bringing two CBs and CMs and a LB would do good for the team to in fighting for a top 3 finish....in his 3rd season, then he should have about 7 to 8 'players of his own' to fight for the title.....

OTH, a complete overhaul is possible...just look what Maureen and Mancini did:

Words in red: I am saying this again, I guess you are not a football supporter....if you are saying Ranieri did a job for Maureen, then you are out of the league....before Maureen, Chelskis have been chasing managers like crazy.....Maureen came with his own men....

Do you know how many players Maureen left when in his first season? 15. Yes, 15 players were shown an exit door by Maureen. Do you know who are they? Mutu, Crespo, Babayaro, Hasslebaink, Petit, Melchiot, Carlton Cole, Zenden, Stanic, Forssell and others, just to mention a few. Do you know who came in? Ferreira, Cech, Robben, Kezman, Drogba, Tiago, Carvalho, Jarosik and Morais. Now, say again that Ranieri paved the way for Maureen.

Now let us talk Shitty. I think you know that Mancini was hired as a Shitty boss in December 2009. Almost mid-season, after Hughes was sacked. So in his first half year, he had only Vieira and Adam Johnson as his signings. But in the season 2010-11, literally, his first season in charge of things at Shitty, Mancini did this:

Players out, 8, including Benjani, Petrov, Silvinho, Ireland, Etuhu, Robinho and Garrido. Players in, 7, including, Toure, Silva, Balotelli, Milner, Dzeko, Kolarov and Boateng. Mancini had also loaned out 12 players including Adebayor, Santa Cruz, W. Bridge, Bellamy etc...

Now say it again that Maureen and Mancini didn't go for a complete overhaul....

Sources: Chelskis and Shitty websites

we are all behind Moyes, we know he will have to build a team of his mind, but today MU fans are disappointed with the sub he made after Jones was injured. It was a simple mathematics to bring in Fletcher to cover deep midfield when Carrick had to drop to the defense. The moment Rooney was discharged from the forward line, we tumbled
 
article-2549696-1B213E0A00000578-974_964x386.jpg



Haka kajukwaa kananuka sana naona
Nzi wameshamiri khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee

Whats the
Mata now!
 
article-2549696-1B209A4700000578-753_634x435.jpg



Strained - Mata looks in pain after picking up a knock in the second half

Maumivu yakizidi mwone daktari wa JF khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
we are all behind Moyes, we know he will have to build a team of his mind, but today MU fans are disappointed with the sub he made after Jones was injured. It was a simple mathematics to bring in Fletcher to cover deep midfield when Carrick had to drop to the defense. The moment Rooney was discharged from the forward line, we tumbled

What you are saying, I have already said so in my previous post...
 
article-2549696-1B20D45100000578-199_634x422.jpg




Dejected- Mata and David De Gea trudge off
the pitch after another defeat
.... .... .... na bado Manure wanashinda kwa kuzawadiwa ushindi
kale ka-manager ka Cardiff kaliwapa ushidi wiki iliyopita
kamezawadiwa Zaha khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Behind Mo No those who know nothing about football phew! khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee story iliyopitwa na wakati.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Au leo Mata hakucheza wadau, maana timu mdebwedo balaa.

Mourinho alijua hamfiki popote ndio maana akawauzia Mata.

Timu Majanga.!!
 
''Manchester United manager David Moyes sees tenure marked by £220m being wiped off stock market valuation

Manchester United manager David Moyes' failure to chase down Premier League's top four has seen the club's worth tumble by £220m in a month ..... ...... ....... ........ ......''




Get me out of here mourns Mo No .... ....



1555372_884773344896216_1268286490_n.jpg



Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


kny Mentor i n g I d i o t s ..... ...... ......



Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
BfaTRidCQAE9L9F.jpg:large


At least he did what he is supposed to do, to score....

BfaTLlWCIAA25KV.jpg:large


And he was United's MOTM for the 2nd consecutive game...

1391292056586.jpg
 

Attachments

  • 1391292082085.jpg
    1391292082085.jpg
    93.8 KB · Views: 191
  • 1391292108572.jpg
    1391292108572.jpg
    64.7 KB · Views: 196
  • 1391292124251.jpg
    1391292124251.jpg
    73 KB · Views: 198
  • 1391292152053.jpg
    1391292152053.jpg
    112.1 KB · Views: 196
  • 1391292174439.jpg
    1391292174439.jpg
    79.1 KB · Views: 195



attachment.php




Wacha we! khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

attachment.php





attachment.php




attachment.php





attachment.php





attachment.php



khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee



 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ni kweli leo alichemsha subs....lakini kuchemsha kwake katika subs hakumfanyi kuwa hafai kuwa kocha wa United!

Pamoja na udhaifu wetu leo, hata hivyo pongezi ziende kwa Stoke, jamaa wanajua kufight hapo kwao, Chelskis mwenyewe alilala hapo dakika za majeruhi...hiyo aina maana nakubaliana na matokeo, la hasha...matokeo yanauma sana ukizangatia Everton wameshinda....anyway, realistically, sasa ni kufight for a 4th position to the death....6 points or 9 points if Loserfools win kesho, inawezekana kuziclose....itabidi tuchukue uzoefu wa akina Mbu na mwana mpotevu BAK katika kufight kwa 4th place....ni ukweli unaouma, lakini inabidi iwe hivyo katika kujipanga kwa msimu ujao...

......hehehe, mwenzenu mfarisayo keshawakimbia zamani, kakuacha Nzi na Belo mkipiga kelele tu hapa....

Jopo la makocha Man U incl mzee Giggsy idea zimewaishia, ilobakia sasa ni kumuomba Sir Fergie aje kuokoa jahazi...
 
Last edited by a moderator:
......hehehe, mwenzenu mfarisayo keshawakimbia zamani, kakuacha Nzi na Belo mkipiga kelele tu hapa....

Jopo la makocha Man U incl mzee Giggsy idea zimewaishia, ilobakia sasa ni kumuomba Sir Fergie aje kuokoa jahazi...

Na hapo goons nani aje kuokoa jahazi? Miaka 9 sasa, patupu. Imarati, neno, kombe la ubingwa, halipo kwenye msamiati, ati!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli ubovu wa Moyes uko kwenye kufanya substitution ingawa bado tuna imani nae sana. Fletcher alikuwa mtu sahihi sana baada ya Jones kuumia

haiwezekani kila siku arudie makosa haya haya ya kushindwa kufanya sub,hii inanipa imani kwamba ataendelea kukosea kufanya sub na mimi niliongea hili as soon alivyoshindwa kufanya sub,im wondering benchi lake la ufundi huwa linamshauri nini kweli haya hawayaoni,?? Au wanatufanyia makusudi yaani sub iko open kabisa kaenda kufanya sub ya kituko kwa weli anazidi kunidisapoint in moyes i dont trust
 
Subirini tumsaini Mata, subirini Mata acheze pamoja na Rooney,na RVP..... Haya leo tumeona kilichotokea. Naomba mkija Emirates siku 10 zijazo mcheze kama hivi tuwabandike goli 10-0 LOL

moyes the record breaker ameveunja rekodi nyingine kuwapanga rooney,mata na rvp na bado kupoteza mechi
 
Back
Top Bottom