Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Di Matteo alijua utamaduni wa Chelsea; amecheza timu hiyo pia anajua timu ili ishinde inahitaji mambo gani.
Nyinyi majirani zetu poleni sana DMOYES, hajui .. mngekuwa na Steve Bruce, Eric Cantona au Mark Hughes hali ingekuwa tofuati kwa sababu hao wanajua United huwa inafanyaje kushinda; poleni ndo mpira kuna wakati unakua juu kuna wakati unabaki chini;

Utamaduni wa kupaki bus? Hebu tuambie Di Matteo alikuwa anajua Utamaduni wa gani wa Chelsea na kwa nini alifukuzwa?
Jose Morinyo hajacheza kabisa soka aliujua wapi utamaduni wa Chelsea
Binafsi nilitegemea SAF akiondoka timu itatetereka, still naamini Moyes anahitaji muda
 
Utamaduni wa kupaki bus? Hebu tuambie Di Matteo alikuwa anajua Utamaduni wa gani wa Chelsea na kwa nini alifukuzwa?
Jose Morinyo hajacheza kabisa soka aliujua wapi utamaduni wa Chelsea
Binafsi nilitegemea SAF akiondoka timu itatetereka, still naamini Moyes anahitaji muda


[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TH="align: left"]Years[/TH]
[TD]Team[/TD]
[TD="align: right"]Apps[SUP]†[/SUP][/TD]
[TD="align: right"](Gls)[SUP]†[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1980–1982[/TH]
[TD]Rio Ave[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1982–1983[/TH]
[TD]Belenenses[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1983–1985[/TH]
[TD]Sesimbra[/TD]
[TD="align: right"]35[/TD]
[TD="align: right"](1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1985–1987[/TH]
[TD]Comércio e Indústria[/TD]
[TD="align: right"]27[/TD]
[TD="align: right"](8)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Total[/TH]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]94[/TD]
[TD="align: right"](13)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

That is Jose Mourinho for you...and he was a CENTRAL MIDFIELDER FYI!!!!!


#mburukenge #mtazoeaTU

Tegua kitendawili cha Sizinga bana, "Ikishinda ya 7, ikishindwa ya 7"
 
Last edited by a moderator:
Utamaduni wa kupaki bus? Hebu tuambie Di Matteo alikuwa anajua Utamaduni wa gani wa Chelsea na kwa nini alifukuzwa?
Jose Morinyo hajacheza kabisa soka aliujua wapi utamaduni wa Chelsea
Binafsi nilitegemea SAF akiondoka timu itatetereka, still naamini Moyes anahitaji muda


[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TH="align: left"]Years[/TH]
[TD]Team[/TD]
[TD="align: right"]Apps[SUP]†[/SUP][/TD]
[TD="align: right"](Gls)[SUP]†[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1980–1982[/TH]
[TD]Rio Ave[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1982–1983[/TH]
[TD]Belenenses[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1983–1985[/TH]
[TD]Sesimbra[/TD]
[TD="align: right"]35[/TD]
[TD="align: right"](1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1985–1987[/TH]
[TD]Comércio e Indústria[/TD]
[TD="align: right"]27[/TD]
[TD="align: right"](8)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Total[/TH]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]94[/TD]
[TD="align: right"](13)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

That is Jose Mourinho for you...and he was a CENTRAL MIDFIELDER FYI!!!!!


#mburukenge #mtazoeaTU

Tegua kitendawili cha Sizinga bana, "Ikishinda ya 7, ikishindwa ya 7"
 
Last edited by a moderator:
[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TH="align: left"]Years[/TH]
[TD]Team[/TD]
[TD="align: right"]Apps[SUP]†[/SUP][/TD]
[TD="align: right"](Gls)[SUP]†[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1980–1982[/TH]
[TD]Rio Ave[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1982–1983[/TH]
[TD]Belenenses[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1983–1985[/TH]
[TD]Sesimbra[/TD]
[TD="align: right"]35[/TD]
[TD="align: right"](1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1985–1987[/TH]
[TD]Comércio e Indústria[/TD]
[TD="align: right"]27[/TD]
[TD="align: right"](8)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Total[/TH]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]94[/TD]
[TD="align: right"](13)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

That is Jose Mourinho for you...and he was a CENTRAL MIDFIELDER FYI!!!!!


#mburukenge #mtazoeaTU

Tegua kitendawili cha Sizinga bana, "Ikishinda ya 7, ikishindwa ya 7"

sasa hapa mbona mnaniweka dillema kuna siku niliangalia interview ya mourinho bbc alivyoulizwa kwa nini hakucheza mpira ujana wake akasema hakucheza kwa sababu ametoka familia ya kitajiri,so that means mpira wengi wanacheza kwa kutafutia maisha,ambayo yy alikuwa nayo tayari
 
Last edited by a moderator:
sasa hapa mbona mnaniweka dillema kuna siku niliangalia interview ya mourinho bbc alivyoulizwa kwa nini hakucheza mpira ujana wake akasema hakucheza kwa sababu ametoka familia ya kitajiri,so that means mpira wengi wanacheza kwa kutafutia maisha,ambayo yy alikuwa nayo tayari

Weka link...!
 
[TABLE="class: infobox vcard"]
[TR]
[TH="align: left"]Years[/TH]
[TD]Team[/TD]
[TD="align: right"]Apps[SUP]†[/SUP][/TD]
[TD="align: right"](Gls)[SUP]†[/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1980–1982[/TH]
[TD]Rio Ave[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1982–1983[/TH]
[TD]Belenenses[/TD]
[TD="align: right"]16[/TD]
[TD="align: right"](2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1983–1985[/TH]
[TD]Sesimbra[/TD]
[TD="align: right"]35[/TD]
[TD="align: right"](1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]1985–1987[/TH]
[TD]Comércio e Indústria[/TD]
[TD="align: right"]27[/TD]
[TD="align: right"](8)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Total[/TH]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]94[/TD]
[TD="align: right"](13)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

That is Jose Mourinho for you...and he was a CENTRAL MIDFIELDER FYI!!!!!


#mburukenge #mtazoeaTU

Tegua kitendawili cha Sizinga bana, "Ikishinda ya 7, ikishindwa ya 7"

Unazungumzia soka la mchangani,tunazungumzia profesional football.Angalia hizo timu zilikuwa za madaraja gani,Jose yeye mwenyewe huwa anakiri hakucheza soka
1987 ambao ni mwaka wa mwisho kucheza soka alikuwa na miaka 24.Jose alitaka kucheza proffessional football alianzia youth team akashindwa kuanzia hapo akaanza kujihusisha na uskauti na ukocha

Msome vizuri hapo chini

http://soccerlens.com/jose-mourinho-profile-the-second-division-was-my-level/41137/
 
Last edited by a moderator:

Aise .... ..... .... kufungwa kubaya chacha nachikia
Wine Romney katingisha kiberiti kama kimejaa kumbe kiko tupu kakwapua signature na mpunga wa laki tatu za malkia kwa wiki khe khe khe khe kjheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee patamu hapo ...... ... .... Judas naye anaona niaje aanze na yeye kutingisha?

BTW BJ usijali sana hawa mashoga dawa yake ni kuachana nao tu ..... ........ ....... nachikia Nzi kapata harufu ya uvundo ndio chababu habanduki hapo ..... ... si unajua tena shombo ikizidi he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Akha.. Mie ni Man U for better for worse, till death do us apart🙂))))))
 
Sasa presha ya nini; huo huo wa kupaki basi na makombe tunabeba. wewe presha ya nini shabikia timu yako; usitake nifikiri kama unavyofikiri au vipi mwana? respecti my views.:fencing:
Utamaduni wa kupaki bus? Hebu tuambie Di Matteo alikuwa anajua Utamaduni wa gani wa Chelsea na kwa nini alifukuzwa?
Jose Morinyo hajacheza kabisa soka aliujua wapi utamaduni wa Chelsea
Binafsi nilitegemea SAF akiondoka timu itatetereka, still naamini Moyes anahitaji muda
 
Tegua kitendawili kwa nini timu yako Man Utd ikishinda inakuwa ya 7 na ikifungwa inabaki ya 7?
Unazungumzia soka la mchangani,tunazungumzia profesional football.Angalia hizo timu zilikuwa za madaraja gani,Jose yeye mwenyewe huwa anakiri hakucheza soka
1987 ambao ni mwaka wa mwisho kucheza soka alikuwa na miaka 24.Jose alitaka kucheza proffessional football alianzia youth team akashindwa kuanzia hapo akaanza kujihusisha na uskauti na ukocha

Msome vizuri hapo chini

Jose Mourinho Profile: "The second division was my level." | Soccerlens
 
Sasa presha ya nini; huo huo wa kupaki basi na makombe tunabeba. wewe presha ya nini shabikia timu yako; usitake nifikiri kama unavyofikiri au vipi mwana? respecti my views.:fencing:

Usijilinganishe na Man United kwenye kubeba makombe,tafuta size yako
 
Hao watamrahishia Moyes kazi ya kutengeneza timu,Wengi wao hawana viwango vya kuchezea Man United kwa sasa

Inaweza ikawa kumrahisishia vile vile inaweza kufanya kazi yake kuwa ngumu. Inategemea. Kutengeneza timu nzuri inachukuwa muda na hakuna uhakika Moyes atapewa huo muda na La familia de Glazers.
 
article-2551378-1B2FD2AF00000578-105_636x418.jpg




article-2550902-1A6FE60D00000578-856_634x401.jpg


Mungu nisaidie ... ... .. .....
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Brown envelopes soccer ..... ..... .... ...... ...... ....
 
Back
Top Bottom