Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,031
- 40,065
Man United sio team nzuri km inavopewa promo for me NAPOLI is better saizi kuliko media zinavotuaminishaNow days kumfunga Man U … O.T haiwezekani






Mpumbaf sana huyu kocha. Nadhani huwa ana-list ya substitution zake kaziandaa kabisa. Hata game ichange vipi habadili mawazo. Case kapigwa red alitakiwa afanye sub za maana za haraka sana. Kamuingia Tominay halafu katulia. Kasubiri mpaka dakika ya 76 ndio anawaingiza Fecundo na Garnacho wakabadili kabisa mchezo.
kwa matokeo ya leo, alaumiwe kocha kwa kupanga timu kijinga kabisa.
"Out of Control"ambayo ina fall kwny category ya dangerous play...ni clear red card kbs.
Lakini kuhusu Red card ya Casemiro wataalamu mnipe elimu, kwani Casemiro si alianza kuucheza mpira ukateleza ndio akamkanyaga mchezaji? Kuna dhamira hapo au ni vile alivyoonyesha meno ya kiatu?
No Man u tusijifariji ujinga kwa form ya Southampton msimu huu hii mechi tumefell na mbele tutaikumbuka point tatu za bure leo tumeziachaHaya mamluki mnaruhusiwa kurudi mlipotoka
Game imeisha mlilokuwa mnalitaka halijakuwa
Old Trafford panaheshima yake
Leo mmerudi barabarani. Wiki barabarani wiki shambaARV msimamo tafadhali ndugu yangu![]()
Sure..sio vizuri kusahau mambo mazuri MalcolM XIINi kawaida yetu binadamu kusahauView attachment 2547748
hatukaki kukosa kwenda Uefa kwa misimu 4 kama nyie.Kikosi cha Europa hicho hicho kinawekwa kwenye ligi. Title contender ana kikosi kimoja tu
Nilikwambia nn mkuu?O.T siku hzi panaheshima yake mpinzani lzm alijue hilo
Hii game tunashinda hamtoamini

Real betis ili hafuzu wanatakiwa washinde 4 bila hizo goal utawafungia wewe.Next game mnafungwa