Leo mmerudi barabarani. Wiki barabarani wiki shambaARV msimamo tafadhali ndugu yangu![]()
Sure..sio vizuri kusahau mambo mazuri MalcolM XIINi kawaida yetu binadamu kusahauView attachment 2547748
hatukaki kukosa kwenda Uefa kwa misimu 4 kama nyie.Kikosi cha Europa hicho hicho kinawekwa kwenye ligi. Title contender ana kikosi kimoja tu
Nilikwambia nn mkuu?O.T siku hzi panaheshima yake mpinzani lzm alijue hilo
Hii game tunashinda hamtoamini

Real betis ili hafuzu wanatakiwa washinde 4 bila hizo goal utawafungia wewe.Next game mnafungwa
Mmh. Inakuwaje wanampa ban ya games nyingi hivyo? Nilifikiri red card inamkosesha mtu mechi 1-2?Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Waulize Man City, bora sisi draw.Kenge nyie mnatoa Draw na Timu inayoburuza mkia,makima kweli nyie machoko
Hujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
HuaminikiJamaa ni mzuri, mzuri sana. Haruhusu mabeki wale waanzishiane mpira pale nyuma anakaba sana. Ni mtu sana, anajua sana kukaba na kukimbia muda wote.








Straight red card iyoMmh. Inakuwaje wanampa ban ya games nyingi hivyo? Nilifikiri red card inamkosesha mtu mechi 1-2?
Tena hovyo kweli kweli, magoli yake mengi hayana skills yoyote, ni zali tuu, mishuti mishuti na omba Mungu. Hamna forward pale.Kijana wa hovyo sana
DaAah. Hopefully wapinzani wataitumia nafasi hii vizuri hata wasipowafunga basi watoe droo nao. Kwenye title race Sasa hivi hatutaki usumbufuStraight red card iyo
leo mbona ujatuma skrinishot zako za kinyumbuHujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.


No Man u tusijifariji ujinga kwa form ya Southampton msimu huu hii mechi tumefell na mbele tutaikumbuka point tatu za bure leo tumeziacha
Leta screenshot za msimamo wa ligi ,kenge weweSure..sio vizuri kusahau mambo mazuri MalcolM XII View attachment 2547749