The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wewe mbona unalalamika lalamika tuu kwenye nyuzi za watu? Kwanini unaumizwa na mafanikio ya utd, kwani we timu yako c inaongoza ligi? Hata icheze na Yanga lkn bado Man utd itabaki kuwa timu kubwa na Arsenal itabaki kuwa timu ndogo hata ikichukua ligi msimu huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo