hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Halafu wanadanganyana Arsenal ana kikos finyu , manjesta ana kikos kipanaKikosi cha Europa hicho hicho kinawekwa kwenye ligi. Title contender ana kikosi kimoja tu
Halafu wanadanganyana Arsenal ana kikos finyu , manjesta ana kikos kipanaKikosi cha Europa hicho hicho kinawekwa kwenye ligi. Title contender ana kikosi kimoja tu
Huyu kocha mpaka next season mtakuwa mmeshaanza 7 HAG OUT
kwa matokeo ya leo, alaumiwe kocha kwa kupanga timu kijinga kabisa.
Hujajua mpira..wewe kaa kimya. Timu nzima mtu muhimu ndio huyo. Ile red ya mwanzo hakucheza mechi 3 tulichemsha sana sana.
Angalia form ya timu na rank sisi tunamapungufu sana ila media zinatubeba ile timu ni mbovu ingekuwa timu nyingine tungefungwaMpira umeujulia ukubwani au unaweza kupiga dana dana hata 100 kwa mguu mmoja…
Listen Mkuu tumecheza pungufu wachezaji 10 kwa dk 60… so km hauto show same respect basi tulia
Huyu kocha mpaka next season mtakuwa mmeshaanza 7 HAG OUT
Player ratings
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2547785
Sa mbona umekasirikaReal betis ili hafuzu wanatakiwa washinde 4 bila hizo goal utawafungia wewe.
Kenge nyie mnatoa Draw na Timu inayoburuza mkia,makima kweli nyie machoko
Arteta kagewa nini anachotaka? 😂😂😂Kuwa na heshima na 10 Hag
Next season akipewa anachokitaka km ilivyo kwa Arteta maji mtaita mma
Arteta kagewa nini anachotaka?![]()
Huyu Erik kagewa mchezaji wa milioni 100, katumia zaidi ya milioni 250 kusajili unataka agewe nini zaidi?
Ila mashabiki wa United mnanifurahisha sana nikiwa nasoma comments zenu
Saba zitapungua hadi kubaki 2Kuwa na heshima na 10 Hag
Next season akipewa anachokitaka km ilivyo kwa Arteta maji mtaita mma
.
.




Soton walikua na chances 3 ambazo naamini timu kama Brighton au Brentford wanascore 2 kati ya hizo.Halafu wanadanganyana Arsenal ana kikos finyu , manjesta ana kikos kipana
Una uhakika Arteta kapewa anachotakaKuwa na heshima na 10 Hag
Next season akipewa anachokitaka km ilivyo kwa Arteta maji mtaita mma
Na njia zake ni kukandamizwa 5 na Liva na kusema 'This is enough' kutumia zaidi ya milioni 250 ili kujiandaa naye tena na anakuja kukukandamiza 7 nunge.Kagaiwa wachezaji anao wataka na kapewa muda wa kuitengeneza timu
Miaka miwili iliyopita ulikuwa huwezi kusimama ukajisifia wee ni Arsenane timu ambayo ina miaka takriban 8 haijawahi kucheza UEFA CHAMPION LEAGUE
mpira una njia zake dogo janja
Saba zitapungua hadi kubaki 2

Yeye anamuaibisha man u tu, ndio mpinzani wake halisiUzuri wa Liverkuku a.K.a Liverfools hana dhamana ni km jana kapigwa na Bournemouth usishangae akafungwa tena na Leeds United![]()