Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu ni uzembe wa kocha, huwezi kuanza na kiungo mmoja mzuiaji halafu mbele ujaze wachezaji ambao hawakabi, ni upuuzi 10Hug kafanya.
 
Mc tominay for Whergost. Huyu kocha anamtunza Fred wa nini? Kwani mechi ya Alhamis si tumeshapita!. Pambaf.
 

Huyu mchezaji si amezuia kabisa mpira kwa mkono usimfikie Weghorst?
 
Dah sijui tu ila nadhani kuna wachezaji pia wanaonewa kuna watu wanapata namba kila siku lakini ukiwaangalia unaona kabisa nje kuna vijana wanaweza kuingia na kufanya vizuri.
 
Back
Top Bottom