Kocha kaharibu sana hii mechi. Kikosi hovyo kabisa
kwa hali hii ushindi ishakua tia maji tia maji mpaka mda huu ..Hapa toa wegohost na sancho aingie fred na scot
Ymeaharibika tayariTunapelekwa sana, kati hakuna mtu kabisa, TOA SANCHO WEKA FRED kabla mambo hayajaharibika.
Kumbe na wewe unaona, afu refa hataki kwenda kuangali VAR
Huyu mchezaji si amezuia kabisa mpira kwa mkono usimfikie Weghorst?
Refa hawapendi man u
Huyu mchezaji si amezuia kabisa mpira kwa mkono usimfikie Weghorst?
Refa hawapendi man u
Dah sijui tu ila nadhani kuna wachezaji pia wanaonewa kuna watu wanapata namba kila siku lakini ukiwaangalia unaona kabisa nje kuna vijana wanaweza kuingia na kufanya vizuri.
Looks likely you gonna lose two consecutive games