D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Nimeacha kuishabikia manchester united.
12/03/2023
Ten Hag on Casemiro’s red card: “Casemiro played over 500 games in Europe and never once got a red card. Now he has two in the Premier League. His absence is not the issue. We will deal with that. This game was influenced by the referee.”




Maneno makali hayaThis game was influenced by the referee.”
Msimu huu wenyewe alipewa anachokitaka , €250m kachota €100m kaleta yule mtembea na mpira nyingine kamsajili mchezaji ambaye ameshindwa kutoboa kwa ShawKuwa na heshima na 10 Hag
Next season akipewa anachokitaka km ilivyo kwa Arteta maji mtaita mma
Mzee ile utaita late tackle?Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huko Twitter mashabiki uchwara wanaosoma stats wanampamba ndiyo aletwe yeye.Siwaamini sana washambuliaji wanaotoka ligi ya serie A pindi wanapokuja premier league.
Kwa nini osimhen dhidi ya harry kane?
Ondoa hoja ya umri.
Wanachekesha Sana huyu kocha labda apewe bajeti ya €1bilionArteta kagewa nini anachotaka?![]()
Huyu Erik kagewa mchezaji wa milioni 100, katumia zaidi ya milioni 250 kusajili unataka agewe nini zaidi?
Ila mashabiki wa United mnanifurahisha sana nikiwa nasoma comments zenu
Arteta msimu wa Kwanza angepewa €250m angegombea ubingwaKagaiwa wachezaji anao wataka na kapewa muda wa kuitengeneza timu
Miaka miwili iliyopita ulikuwa huwezi kusimama ukajisifia wee ni Arsenane timu ambayo ina miaka takriban 8 haijawahi kucheza UEFA CHAMPION LEAGUE
mpira una njia zake dogo janja
Karibu tunywe saba juuNimeacha kuishabikia manchester united.
12/03/2023



Kane ni bora zaidi ya osimhenHuko Twitter mashabiki uchwara wanaosoma stats wanampamba ndiyo aletwe yeye.
Osimhen anafanya robo ya anacho-offer Kane (kufunga magoli) halafu Osimhen ni typical no. 9 huyu hafai mfumo wetu kwa wingers za Rashford na Antony.
Wanaija pia ndiyo wanampamba kwasababu ni countryman tu. Kane bado ana misimu 3 au zaidi.
Strikers wengine Vlahovic na Ramos wao ndiyo sijui uchezaji wao kabisa.
Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?Mzee ile utaita late tackle?
Alikuwa on time ndio maana aliuchweza mpira, shida mpira aliuchapa kwa juu sio chini,ule mpira angeucheza chini isingekuwa ishu..
Mbona game nyingi kawasaidia man u.
Kwenye position yake ukitaja wachezaji wa5 katika epl nae hakosekani
Mashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,Mimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu
Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?
Maparachichi ndio hitaji langu.Karibu tunywe saba juu![]()
.Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..
Timu kila muda mpira mnao nyinyi,timu nzima inakaba,kadi ataipatia wapi.. xhaka mwenyewe siku hizi mikadi imepungua.
Hamtaki kabisa tuongee uhalisia ,Basi tutaanza kuwapambaMashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,
Miaka yangu 21 ya kushabikia mpira wa ulaya nimejifunza jambo hilo, mwanzoni nilidhani hiyo hulka ipo kwa mashabiki wa arsenal waliopo zanzibar tu kumbe ni Tanzania nzima.
Umeninukuu vibaya, nimezungumzia tabia zenu zenye ufanano.Hamtaki kabisa tuongee uhalisia ,Basi tutaanza kuwapamba
Kun Antony , sancho pamoj na kaka yao Bruno kun muda wanakuwa wangese Saan uwanjanHuyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira Tu![]()
Usajili wa malacia una tofauti gani na sajili hiziMimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu