Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag on Casemiro’s red card: “Casemiro played over 500 games in Europe and never once got a red card. Now he has two in the Premier League. His absence is not the issue. We will deal with that. This game was influenced by the referee.”


#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Kuwa na heshima na 10 Hag
Next season akipewa anachokitaka km ilivyo kwa Arteta maji mtaita mma
Msimu huu wenyewe alipewa anachokitaka , €250m kachota €100m kaleta yule mtembea na mpira nyingine kamsajili mchezaji ambaye ameshindwa kutoboa kwa Shaw

Hii ni alarm Kwanza hajui kuona vipaji

Yule Pelisti ana uwezo mkubwa kuliko Anthony wa €100m
 
Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mzee ile utaita late tackle?
Alikuwa on time ndio maana aliuchweza mpira, shida mpira aliuchapa kwa juu sio chini,ule mpira angeucheza chini isingekuwa ishu..
Mbona game nyingi kawasaidia man u.
Kwenye position yake ukitaja wachezaji wa5 katika epl nae hakosekani
 
Siwaamini sana washambuliaji wanaotoka ligi ya serie A pindi wanapokuja premier league.

Kwa nini osimhen dhidi ya harry kane?
Ondoa hoja ya umri.
Huko Twitter mashabiki uchwara wanaosoma stats wanampamba ndiyo aletwe yeye.

Osimhen anafanya robo ya anacho-offer Kane (kufunga magoli) halafu Osimhen ni typical no. 9 huyu hafai mfumo wetu kwa wingers za Rashford na Antony.

Wanaija pia ndiyo wanampamba kwasababu ni countryman tu. Kane bado ana misimu 3 au zaidi.

Strikers wengine Vlahovic na Ramos wao ndiyo sijui uchezaji wao kabisa.
 
Arteta kagewa nini anachotaka?

Huyu Erik kagewa mchezaji wa milioni 100, katumia zaidi ya milioni 250 kusajili unataka agewe nini zaidi?

Ila mashabiki wa United mnanifurahisha sana nikiwa nasoma comments zenu
Wanachekesha Sana huyu kocha labda apewe bajeti ya €1bilion

Mimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu

Pep alikuwa akipewa €200m tu na Mansoor anasajili talent tu

Klopp the same alitumia pesa ya mauzo ya coutinho akaleta potential

Huyu kapewa €250m kachota €100m. Nzima kamsajili mcheza dansi yule
 
Kagaiwa wachezaji anao wataka na kapewa muda wa kuitengeneza timu
Miaka miwili iliyopita ulikuwa huwezi kusimama ukajisifia wee ni Arsenane timu ambayo ina miaka takriban 8 haijawahi kucheza UEFA CHAMPION LEAGUE
mpira una njia zake dogo janja
Arteta msimu wa Kwanza angepewa €250m angegombea ubingwa
 
Huko Twitter mashabiki uchwara wanaosoma stats wanampamba ndiyo aletwe yeye.

Osimhen anafanya robo ya anacho-offer Kane (kufunga magoli) halafu Osimhen ni typical no. 9 huyu hafai mfumo wetu kwa wingers za Rashford na Antony.

Wanaija pia ndiyo wanampamba kwasababu ni countryman tu. Kane bado ana misimu 3 au zaidi.

Strikers wengine Vlahovic na Ramos wao ndiyo sijui uchezaji wao kabisa.
Kane ni bora zaidi ya osimhen
 
Mzee ile utaita late tackle?
Alikuwa on time ndio maana aliuchweza mpira, shida mpira aliuchapa kwa juu sio chini,ule mpira angeucheza chini isingekuwa ishu..
Mbona game nyingi kawasaidia man u.
Kwenye position yake ukitaja wachezaji wa5 katika epl nae hakosekani
Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?
 
Mimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu
Mashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,

Miaka yangu 21 ya kushabikia mpira wa ulaya nimejifunza jambo hilo, mwanzoni nilidhani hiyo hulka ipo kwa mashabiki wa arsenal waliopo zanzibar tu kumbe ni Tanzania nzima.
 
Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?
Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..
Timu kila muda mpira mnao nyinyi,timu nzima inakaba,kadi ataipatia wapi.. xhaka mwenyewe siku hizi mikadi imepungua.
 
Angekuwa Arsenal huyu jamaa ungekuta tushachukua ubingwa hata na hii Baki ya mechi 11 😆😆
Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..
Timu kila muda mpira mnao nyinyi,timu nzima inakaba,kadi ataipatia wapi.. xhaka mwenyewe siku hizi mikadi imepungua.
.
 
Mashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,

Miaka yangu 21 ya kushabikia mpira wa ulaya nimejifunza jambo hilo, mwanzoni nilidhani hiyo hulka ipo kwa mashabiki wa arsenal waliopo zanzibar tu kumbe ni Tanzania nzima.
Hamtaki kabisa tuongee uhalisia ,Basi tutaanza kuwapamba

Hivi ni uongo kwa Anthony mchezaji wa €100m kwa kiwango anachoonyesha ? Yule si mchezaji wa €25m ,hivi yule Anthony anamzidi Nini mfano Pellistri?

Kwakuwa hamtaki kukosolewa Basi mnataka tumpambe Anthony


Mchezaji wa €100m ,Epl ana Goli 3 assist 0
 
Mimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu
Usajili wa malacia una tofauti gani na sajili hizi

Tomiyasu - paundi millioni 15 hadi 19.
Tavares - paundi millioni 7.

Una uwezo zaidi ya huo brother, mambo hayo waachie jamii ya ollachuga

Jikubali.
jiwekee standard ya ushabiki
 
Back
Top Bottom