ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Mjinga tu na yeye..anapendaga rafu za hovyo utadhani refa babaake.Ivi casemiro na red card walishindwa kumaliza ugomvi wao?
Mjinga tu na yeye..anapendaga rafu za hovyo utadhani refa babaake.Ivi casemiro na red card walishindwa kumaliza ugomvi wao?
Toka Madrid mistake yeye tu
Straight zote kapigwa man utd😂Toka nimuone Casemiro aanze kucheza mpira amepewa red card mbili na zote amezipatia Man U…..
1 ya uzembe dhidi ya C. Palace
2 ya bahati mbaya ya Southampton
Km kuna mdau anajua tofauti anaweza kunisaidia
Kweli kosa moja haliachi mke😂Ubora wake tuna uona kosa moja halifanyi tumuone mzito wakati Liverkuku yote hamna defensive midfielder km Casemiro
Mpk ss unajua anagoli ngapi na assist ngapi ? Think before u writing






