The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wewe mbona unalalamika lalamika tuu kwenye nyuzi za watu? Kwanini unaumizwa na mafanikio ya utd, kwani we timu yako c inaongoza ligi? Hata icheze na Yanga lkn bado Man utd itabaki kuwa timu kubwa na Arsenal itabaki kuwa timu ndogo hata ikichukua ligi msimu huuUnacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,
Mimi nipo hapa muda utaongea ,hata Conte wakati anashinda hivi nilibishiwa Sana na ule mpira wake wa ovyo




Achana naye mwehu uyo, kazi kulalamika lalamika tuu.Sir Alex Ferguson aliwai kuchukua ubingwa kwa kumtegemea Valencia (mguu mmoja) na Rafael
Sir Alex Ferguson ndio muanzilishi wa falsafa ya full beki kutumika kama winga
Sir Alex Ferguson alimfanya young kuwa beki na winga
Yani ulipigwa chuma 3 na bado unasema tulibahatisha, huna akili wewe7-0?
Hapa hamna Cha kujitetea ,nyie ni wabovu tu ,
Shida yenu mnafichama kwenye matokeo ,angalia mmeshindaje ,sio kubahatisha
Mfano hiyo mechi mliyoshinda 3-1 vs Arsenal ,hakuna mpira wa maana au performance ambayo ilikuwa guarantee mna timu Bora












Yaani huyo Sancho!!! Sijui kwa nini roho yangu inasita sana kwa huyu kijana.
Naona Sancho ni #10 then Bruno nyuma na Casemiro
Jamaa ni mzuri, mzuri sana. Haruhusu mabeki wale waanzishiane mpira pale nyuma anakaba sana. Ni mtu sana, anajua sana kukaba na kukimbia muda wote.
Kocha anampenda Weghorst, ni kama Magufuli na Dr. Mpango.