Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
1st goal for MU-2GWeghorst kashangilia kama vile hajashinda miaka buku.
1st goal for MU-2GWeghorst kashangilia kama vile hajashinda miaka buku.
Unateseka ukiwa wapiJambo pekee lakuwariji msimu huuView attachment 2544222
Uchoyo ndio unaowasumbua wala hakuna kingine.Nadhani msimu ujao striking department inatakiwa isukwe upya.
Aje striker mpya na wahakikishe hawakosi nafasi kizembe hivi.





Shangingi umesikika.Nyie KENGE najua bado MSHONO wenu wa SABA haujakauka,leo vijana kutoka Spain lazima WAUTONESHE Damu zitoke tena KENGE nyinyi,mnakojolewaje MIKOJO Saba ambayo hata MACHANGU wa KIMBOKA hawawezi kuvumilia??KENGE sana nyie
Tunafokewa🤣🤣🤣
Me nilishamdharau kitambo sana.Huyu ghost yeye ni kukabakaba tu hajui kuwa amesajiliwa ili afunge
Na kuna watu humu wanajaribu kutudanganya kua jamaa ni mzuri, utadhani mpira ni mchezo wa siri.Yani ni noma, hapa Man U toka asajiliwe ameshafunga goli 1 tu, na kila mechi amecheza.
Nimechekaje!!Ana uefa 4 na world cup 1, wewe kapuku hapo una pumb* tu
Nawazoom tuTunafokewa![]()
Hana Issue huyo.Ghost anashindwa kufunga tena
Hana Issue huyo.Ghost amefunga, ameshangilia kinoma
Kipofu kaona mwezi.Weghorst toka alipofunga goli yeye ni kucheka tu mpaka sasa mpira umeisha lakini bado anacheka





