Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lisandro Martinez’s game by numbers vs. Real Betis:

92% pass accuracy
78 touches
61 passes completed
5/8 long balls completed
4/4 ground duels won
3/3 tackles won
3/3 aerial duels won
3 clearances
1/1 dribbles completed

The Butcher.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230226_155938_901.jpg
 
Manchester United wako tayari kutoa euro 130m (£115m) kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa Eduardo Camavinga, 20, kutoka Real Madrid. (Fichajes – in Spanish)
Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane, 29, yuko kwenye orodha ya usajili ya meneja wa Manchester United Erik ten Hag, kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji wa Ghana Mohammed Kudus, 22 kutoka klabu ya zamani ya Mholanzi huyo Ajax. (TalkSport)
Lakini United watataka kuwauza wachezaji kadhaa wa kikosi cha kwanza, akiwemo beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, ili kutoa nafasi kwa wachezaji wapya msimu huu wa joto. (ESPN)
Camavinga kwa hela yote hio tutafute tu option nyingine, kwangu mimi bora tukamchukue yule Ambrabat.
 
Pamoja na ushindi ila kwenye umaliziaji forward zetu zinapoteza nafasi nyingi sana za wazi, hii game kungekua na umakini kwenye ufungaji hawa waspaniola wangekula hata goli 10+
Nadhani msimu ujao striking department inatakiwa isukwe upya.

Aje striker mpya na wahakikishe hawakosi nafasi kizembe hivi.
 
Pamoja na ushindi ila kwenye umaliziaji forward zetu zinapoteza nafasi nyingi sana za wazi, hii game kungekua na umakini kwenye ufungaji hawa waspaniola wangekula hata goli 10+

Father Goat CR7 angekuwepo jana ilikuwa anapiga hat trick
 
PBruno Fernandes’ game by numbers vs. Real Betis:

95 touches
54 passes completed
5 ground duels won
5 key passes
3 crosses completed
2/2 dribbles completed
2 big chances created
1 goal
1 assist

Player of the match.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2543711

Captain Bruno akicheza 10 anakuwa superb sana kuliko winga
 
Matatizo makuubya Man U mbele ni mawili ..

1.Umaliziaji mbovu .Mechi nyingi hata tukizo shinda mfululizo karibia kila mechi lazima kuwe na clear chances nyingi tunazokosa hata mechi na liver tulianza kwa kukosa magoli ya wazi wakati wenzetu ontarget 4 zilikuwa goli 4.

2.Uchoyo na Ubinafsi.Rashford ,Bruno ,Antony na Garnacho hawa mara nyingi ni vigumu kuangalia wenzao wanapokuwa ndani ya 18 ,nimecheki highlights mechi ya Bayern na Psg kuna Goli moja jamaa yupo karibu kabisa na kipa ila kamuangalia mwenzake aliyekuwa hajakabwa kabisa nakushinda kiulaini nikavuta picha Man U kwenye situation zile ni nadra sana kukuta mtu anatoa assist akiwa ndani ya 18 mara nyingi atajaribu kupiga tu.
 
Matatizo makuubya Man U mbele ni mawili ..

1.Umaliziaji mbovu .Mechi nyingi hata tukizo shinda mfululizo karibia kila mechi lazima kuwe na clear chances nyingi tunazokosa hata mechi na liver tulianza kwa kukosa magoli ya wazi wakati wenzetu ontarget 4 zilikuwa goli 4.

2.Uchoyo na Ubinafsi.Rashford ,Bruno ,Antony na Garnacho hawa mara nyingi ni vigumu kuangalia wenzao wanapokuwa ndani ya 18 ,nimecheki highlights mechi ya Bayern na Psg kuna Goli moja jamaa yupo karibu kabisa na kipa ila kamuangalia mwenzake aliyekuwa hajakabwa kabisa nakushinda kiulaini nikavuta picha Man U kwenye situation zile ni nadra sana kukuta mtu anatoa assist akiwa ndani ya 18 mara nyingi atajaribu kupiga tu.
Natumai benchi la ufundi wawe makini na mambo ya msingi kama haya timu izidi kufikia matarajio mazuri.
 
Manchester United ni moja ya klabu zinazovutiwa na mshambuliaji wa Argentina Paulo Dybala, 29, ambaye anaweza kusajiliwa kwa pauni milioni 11 msimu wa joto licha ya kujiunga na Roma mwaka jana pekee. (Goal)

Manchester United pia wamejiunga na orodha inayovutiwa na mlinda mlango wa Brentford David Raya, huku Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 27 akitarajiwa kuondoka The Bees baada ya kukataa kandarasi mpya. (talkSPORT)
 
Manchester United wamemuongeza kiungo wa kati wa Chelsea na Uingereza Mason Mount, 24, kwenye orodha ya wachezaji wanaotarajiwa kusajiliwa msimu wa joto. {Guardian)
 
Matatizo makuubya Man U mbele ni mawili ..

1.Umaliziaji mbovu .Mechi nyingi hata tukizo shinda mfululizo karibia kila mechi lazima kuwe na clear chances nyingi tunazokosa hata mechi na liver tulianza kwa kukosa magoli ya wazi wakati wenzetu ontarget 4 zilikuwa goli 4.

2.Uchoyo na Ubinafsi.Rashford ,Bruno ,Antony na Garnacho hawa mara nyingi ni vigumu kuangalia wenzao wanapokuwa ndani ya 18 ,nimecheki highlights mechi ya Bayern na Psg kuna Goli moja jamaa yupo karibu kabisa na kipa ila kamuangalia mwenzake aliyekuwa hajakabwa kabisa nakushinda kiulaini nikavuta picha Man U kwenye situation zile ni nadra sana kukuta mtu anatoa assist akiwa ndani ya 18 mara nyingi atajaribu kupiga tu.
Uchoyo ni tatizo kubwa sana pale Utd
Sijui wachezaji hawapendani au vipi, yan ndo mana hata magoli yetu huon tukifunga yale magoli easy ni magoli ya kulazimisha sanaaa tunafunga

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom