nyamanolokwetu
Member
- Jan 30, 2023
- 89
- 284
leta matokeo KENGE weweIla ghost ana mkosi aise magoal yake mengi uwa offside sana.
leta matokeo KENGE weweIla ghost ana mkosi aise magoal yake mengi uwa offside sana.
Sasa kama no.9 ni ghost hapo unategemea nini?Nafasi tunazokosa ni nyingi tutajuta baadae
Nakukumbusha tu, jamaa alifunga goli 2 kwenye mechi 100 akiwa Burnley.Huyu ghost yeye ni kukabakaba tu hajui kuwa amesajiliwa ili afunge
Yani ni noma, hapa Man U toka asajiliwe ameshafunga goli 1 tu, na kila mechi amecheza.Nakukumbusha tu, jamaa alifunga goli 2 kwenye mechi 100 akiwa Burnley.
Unajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu
tuliza matako hayoUnajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu