Ngoja nipost tenaUnajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu
Nyie shindeni mnavyoweza.Ft; Man U 3 vs 1 Real Betis
Varane ana miguu kama meza ya bar.Mnataka kufanya buildup kipa Degea mabeki kina Varane miguuni Kama wamefungwa mawe![]()
Ulitaka wafanye buildup na babaako?Mnataka kufanya buildup kipa Degea mabeki kina Varane miguuni Kama wamefungwa mawe![]()
Mkuu ulisema huyu dogo tumepigwa lakiniAnthonyyyyyyy
