Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe ni mpuuzi, siwezi kujibizana na wewe tena
Sawa mwerevu.. endelea kushikilia hapo hapo
4EA14CDD-68D1-4335-9F50-F572F541C00D.jpeg
 
Nyie KENGE najua bado MSHONO wenu wa SABA haujakauka,leo vijana kutoka Spain lazima WAUTONESHE Damu zitoke tena KENGE nyinyi,mnakojolewaje MIKOJO Saba ambayo hata MACHANGU wa KIMBOKA hawawezi kuvumilia??KENGE sana nyie
Shangingi umesikika.
 
Yani ni noma, hapa Man U toka asajiliwe ameshafunga goli 1 tu, na kila mechi amecheza.
Na kuna watu humu wanajaribu kutudanganya kua jamaa ni mzuri, utadhani mpira ni mchezo wa siri.
Kwanza me namuombea aumie ili nisimuone tu.
 
Back
Top Bottom