Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
😂😂😂😂hatupoii..
Baaasi!!! Tushashinda.Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs Real betis 1
5:00 usiku
Old Trafford
Back to the action
Sasa wewe wabetie Real betis kama hayo magoli utawafungia wewe.
GGMUView attachment 2543124
Kane hapana wamchukue kudura au Athuman wa napolManchester United wako tayari kutoa euro 130m (£115m) kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa Eduardo Camavinga, 20, kutoka Real Madrid. (Fichajes – in Spanish)
Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane, 29, yuko kwenye orodha ya usajili ya meneja wa Manchester United Erik ten Hag, kama ilivyo kwa kiungo mshambuliaji wa Ghana Mohammed Kudus, 22 kutoka klabu ya zamani ya Mholanzi huyo Ajax. (TalkSport)
Lakini United watataka kuwauza wachezaji kadhaa wa kikosi cha kwanza, akiwemo beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, ili kutoa nafasi kwa wachezaji wapya msimu huu wa joto. (ESPN)
Sawa timu kubwa.. pamoja na kusema hivyo mimi nitaendelea kupost tu 😂Unajua Kwanini bado una post kwasababu Man U ni kubwa kuliko timu yako ipo hivyo siku zote timu ndogo ikifunga timu kubwa upiga kelele kwa Muda mrefu maana hayo maisha hawajazoea Madrid kawakanda Liverpool goli 5 wala avimbi popote.
Hao mashabiki wa Madrid humu Jf unajua wako wangapi au unasema tu.Unajua Kwanini bado una post kwasababu Man U ni kubwa kuliko timu yako ipo hivyo siku zote timu ndogo ikifunga timu kubwa upiga kelele kwa Muda mrefu maana hayo maisha hawajazoea Madrid kawakanda Liverpool goli 5 wala avimbi popote.
Small team mentality.Sawa timu kubwa.. pamoja na kusema hivyo mimi nitaendelea kupost tu
Kumbe inauma nikiweka ubao wa magoli eeh?View attachment 2543366
Acha vitisho🤣🤣🤣 La liga is not EuropaJuzi kati niliangalia mechi kati ya Real Madrid v/s Real beatis ambapo matokeo ilikuwa 1-1 kiukweli ilikuwa bonge moja la mechi, Man U wasipojikaza naziona 7 zingine zikitaradadi
Naskia kufikia mwisho wa huu mwezi kitakuwa kimeeleweka.Hii dili next month likamilike.





Leo tunashinda#UEL - Round of 16
Betis
Thu, Mar 9, 23:00
Oldtrafford
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans️
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2543425

