Itakua kocha ana mipango nae, sema anataka amtambulishe mdogo mdogo bila presha yoyote.Nilishasema humu..huyu Pellistri ana akili nzuri kuliko madogo wote tulionao.
Sema ndo hivyo hapewi nafasi.
Unapoteza muda na mpumbavu brother acha hizo mambo bana!Unajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu











