Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Ngoja nipost tenaUnajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu
Ngoja nipost tenaUnajaza sever tu, hayo matokeo kila mtu anayajua na umeshapost as kibwagizo lakini bado Unapost tu. Kuwa mstaharabu
Nyie shindeni mnavyoweza.Ft; Man U 3 vs 1 Real Betis
Varane ana miguu kama meza ya bar.Mnataka kufanya buildup kipa Degea mabeki kina Varane miguuni Kama wamefungwa mawe![]()
Ulitaka wafanye buildup na babaako?Mnataka kufanya buildup kipa Degea mabeki kina Varane miguuni Kama wamefungwa mawe![]()
Mkuu ulisema huyu dogo tumepigwa lakiniAnthonyyyyyyy

Ana uefa 4 na world cup 1, wewe kapuku hapo una pumb* tuVarane ana miguu kama meza ya bar.
Hata upokeaji wake wa mpira, anapoteza sana. Kubwa hilo ulilosema hayupo aggressive, amekaa kiboss kama Martial.Rashford anazingua, anatakiwa aongoze kujituma