wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Ha ha ha ha!!Hee
Nkamu
Mbona husemi??
Kesho nakuletea keki yenye sticker ya matokeo ya leo
Na sticker ya Liver Chama kubwa
Utakua umetisha sana Nkamu.
Leo nalala kwa amani na furaha tele.
#YNWA
Ha ha ha ha!!Hee
Nkamu
Mbona husemi??
Kesho nakuletea keki yenye sticker ya matokeo ya leo
Na sticker ya Liver Chama kubwa
We dish kweliMan U 3 vs 1 Liverkuku
Hii game tunashinda
Sasa kuna kauli gani ya shombo hapo?Tumemkomesha
Profesa wao wa gengeni
Na kauli zake za shombo![]()
Alitufunga Arsenal 3-1 na sio kwamba Basi hata mchezo aliutawala ,ni kuvizia tu akasema yeye ndiye anastahili kuongoza ligianatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Win ya nyokoDavid de Gea on playing at Anfield: “The away fans are always amazing and it’s a good time to play them so let’s go with everything and try to win the game.”
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2537477
Your days are numbered
Unajua hesabu za kujumlisha na kutoa? Tafuta GD gapo





07Your days are numbered
Mtaja lia humu na litimu lenu tutawakumbusha hii dhihaka
Scars liva ni wabovu sisi ni wabovu mwananguYour days are numbered
Mtaja lia humu na litimu lenu tutawakumbusha hii dhihaka





So sad7up pleaseView attachment 2538607

Sasa kuna ubaya manager kuwaambia wachezaji wake dressing room sisi ni Man United tunatakiwa kuongoza na sio waoAlitufunga Arsenal 3-1 na sio kwamba Basi hata mchezo aliutawala ,ni kuvizia tu akasema yeye ndiye anastahili kuongoza ligi View attachment 2538638