Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hee
Nkamu
Mbona husemi??

Kesho nakuletea keki yenye sticker ya matokeo ya leo
Na sticker ya Liver Chama kubwa
Ha ha ha ha!!

Utakua umetisha sana Nkamu.
Leo nalala kwa amani na furaha tele.
#YNWA
 
SEVEN HAG
20230305_225552.jpg
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Alitufunga Arsenal 3-1 na sio kwamba Basi hata mchezo aliutawala ,ni kuvizia tu akasema yeye ndiye anastahili kuongoza ligi
IMG_20230305_224422.jpg
 
Back
Top Bottom