Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

20230305_232344.jpg
 
United all the way!
Haya ni matokeo ya mpira tu.
The progress we have made so far is substantial.

Hawa Loserfools kutufunga goli 7, haiondoi maendeleo ya timu.

Na leo inaweza kuwa ni matokeo ya uchovu wa mechi nyingi toka Februari.

We will bounce back stronger.

GGMU
Ni vyema kujifariji.
 
Binadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....
Nimekuja gundua hii team ina haters wengi kinoma, yaani kuna mashabiki wa the blues walikuwa wanaishabikia Liver mpaka nikadhani wao ni wadogo zake Klopp..!!
 
Back
Top Bottom