bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 633
- 1,275
"Era come to an end", manina


We unaambiwa mara ya mwisho United kushinda Anfield Rooney alikua mchezaji
Ni vyema kujifariji.United all the way!
Haya ni matokeo ya mpira tu.
The progress we have made so far is substantial.
Hawa Loserfools kutufunga goli 7, haiondoi maendeleo ya timu.
Na leo inaweza kuwa ni matokeo ya uchovu wa mechi nyingi toka Februari.
We will bounce back stronger.
GGMU
Nimecheka kifali
Nimekuja gundua hii team ina haters wengi kinoma, yaani kuna mashabiki wa the blues walikuwa wanaishabikia Liver mpaka nikadhani wao ni wadogo zake Klopp..!!Binadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....![]()
Halafu huu muda nilimuangaliaBwana rashid makameView attachment 2538690




Halafu huu muda nilimuangalia
Sijui ndo anataka kulia.
Kiukweli bila Rashford kutia huruma hivi,tungeongea mengine![]()


huyo alienda kulia dressing room huyo