yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,546
- 4,558
Wana mdomo sana acha waisome namba tutabandika hadi chini 😂Huu ni ukatili asee,jmn tuwe karbu na ndugu zetu wa manjesta wasije jinyonga
GD....jitoe ufaham,mtakapogongana points ndo utajua kama 7 ni points 3 only or notKatika siku ninazokuwa na furaha ni kuona man u na simba wanafungwa

We unaambiwa mara ya mwisho United kushinda Anfield Rooney alikua mchezaji
Ni vyema kujifariji.United all the way!
Haya ni matokeo ya mpira tu.
The progress we have made so far is substantial.
Hawa Loserfools kutufunga goli 7, haiondoi maendeleo ya timu.
Na leo inaweza kuwa ni matokeo ya uchovu wa mechi nyingi toka Februari.
We will bounce back stronger.
GGMU
Nimecheka kifali
Nimekuja gundua hii team ina haters wengi kinoma, yaani kuna mashabiki wa the blues walikuwa wanaishabikia Liver mpaka nikadhani wao ni wadogo zake Klopp..!!Binadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....![]()