Sasa huoni hayo maneno alikuwa anawaambia wachezaji(dressing room).Alitufunga Arsenal 3-1 na sio kwamba Basi hata mchezo aliutawala ,ni kuvizia tu akasema yeye ndiye anastahili kuongoza ligi View attachment 2538638
Sisi furaha yetu ni kumpiga man u 5:0,4:0 na 7:0 huko kwingine hata tupigwe poa tuYour days are numbered
Mtaja lia humu na litimu lenu tutawakumbusha hii dhihaka



Hata wafunge 7 point ni zile zile 3Scars liva ni wabovu sisi ni wabovu mwanangu
But the problem is why mfungwe saba na team mbovu hivi
Hamna atakayewacheka liva trust me liva ni mbovu
Katika siku ninazokuwa na furaha ni kuona man u na simba wanafungwaYour days are numbered
Mtaja lia humu na litimu lenu tutawakumbusha hii dhihaka
Kumbe wameshinda sasa mbona wanalia



Basi furaha yako ni ya kusuasua sanaKatika siku ninazokuwa na furaha ni kuona man u na simba wanafungwa
Huna taarifa?Tunacho shukuru Liverpool mjavunja hii record tu.View attachment 2538520
Wewe ni hewa, tena takatakaDAIMA MIMI MANCHESTER UNITED HATA TUFUNGWE 100.
naamini tutarudi tena tukiwa imara zaidi.
NYIE LOOSERFOOL HAMJAIFUNGA MAN UTD ISIPOKUWA MUMEUFUNGA UCHOVU.
#GGMU
Cnt wait

Kubandika ni bure kabisa no charges apply 🤣Na print hii Kesho![]()
Huu ni ukatili asee



,jmn tuwe karbu na ndugu zetu wa manjesta wasije jinyongaWana mdomo sana acha waisome namba tutabandika hadi chini 😂Huu ni ukatili asee,jmn tuwe karbu na ndugu zetu wa manjesta wasije jinyonga
GD....jitoe ufaham,mtakapogongana points ndo utajua kama 7 ni points 3 only or notKatika siku ninazokuwa na furaha ni kuona man u na simba wanafungwa