Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuanzia msimu wa 2018 united lazima apigwe tano kuja juu.
8139E9BF-FF54-4154-B0E4-0E26479AFB4E.jpeg

Plus 7 🤣🤣🤣🤣
 
Binadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....
Kuna watu na viatu vya pumbu hao ni viatu vya pumbu mkuuu
 
Man U kinachowaweka mjini kwa miaka 10 hii ni mdomo tu. Kuongea mnajua lkn mpira hamna kitu. Mkishinda game tano mfululizo basi maneno meeeengi. Haya chukueni 7 hizo mjione jinsi mlivyo wabovu.

Tangu astaafu Web timu hii ni bure kabisa
Hela usiwe nazo
Kiwango usiwe nacho
Na mdomo ukose.

Tuacheni tuchape mdomo bwana ndo raha ya ushabiki shabiki mnakuwa kama hampo vile.
 
Hela usiwe nazo
Kiwango usiwe nacho
Na mdomo ukose.

Tuacheni tuchape mdomo bwana ndo raha ya ushabiki shabiki mnakuwa kama hampo vile.
Afu chama kubwa linaloongoza kwa Mashabiki wengi duniani linakosaje Watu waongeaji nakati kwenye msafara wa mamba huwa kenge hawakosekani?

Yani mnafananaje tabia kwa wingi huo wa Mashabiki tele duniani?
 
Back
Top Bottom