Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Man U kinachowaweka mjini kwa miaka 10 hii ni mdomo tu. Kuongea mnajua lkn mpira hamna kitu. Mkishinda game tano mfululizo basi maneno meeeengi. Haya chukueni 7 hizo mjione jinsi mlivyo wabovu.
Tangu astaafu Web timu hii ni bure kabisa
Tangu astaafu Web timu hii ni bure kabisa




