Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,859
Siku nyingine mheshimu mechi pumbavu
Kuanzia msimu wa 2018 united lazima apigwe tano kuja juu.
JjiemuyuWin or Loose...We are United
GGMU
Kuna watu na viatu vya pumbu hao ni viatu vya pumbu mkuuuBinadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....![]()
Hela usiwe nazoMan U kinachowaweka mjini kwa miaka 10 hii ni mdomo tu. Kuongea mnajua lkn mpira hamna kitu. Mkishinda game tano mfululizo basi maneno meeeengi. Haya chukueni 7 hizo mjione jinsi mlivyo wabovu.
Tangu astaafu Web timu hii ni bure kabisa
Afu chama kubwa linaloongoza kwa Mashabiki wengi duniani linakosaje Watu waongeaji nakati kwenye msafara wa mamba huwa kenge hawakosekani?Hela usiwe nazo
Kiwango usiwe nacho
Na mdomo ukose.
Tuacheni tuchape mdomo bwana ndo raha ya ushabiki shabiki mnakuwa kama hampo vile.
Hela usiwe nazo
Kiwango usiwe nacho
Na mdomo ukose.
Tuacheni tuchape mdomo bwana ndo raha ya ushabiki shabiki mnakuwa kama hampo vile.


nimechekaWake up man wake upFeel like am dreaming.
Hata kwenye love babyHata Ihefu haiwezi pigwa bao saba kwa nunge![]()


Liva kacheza game mfulululizo pia aiseeEasy goals ,, game mfululizo zmechangia fatigue ,,,hongera livapool



Wewe msimbe njoo hapaKatika game ambazo Ten Hag anazipenda ni game kama hii ya leo ili awaonyeshe ni jinsi gani hamjui
