Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usitetee upumbavu Mkuu nikulize gemu yetu na West Ham bissaka hakucheza, lakin why Leo asingeanzishwa ili huyo dalot apumzike! Ten hag na bichwa lake Kama fuvu la dagaa hua cjui anasisimizi kichwani maana hii gemu amechangia pakubwa kufungwa goli hizi za kudhalilisha.
Mkuu kubali kuwa mpira matokeo yake yanapatikana uwanjani kifupi wachezaji wetu wamechoka sana na pia leo sisi hatukuwa na bahati maana sisi ndio tulianza kupata nafasi tukachezea lakini angalia Liver kila mpira wataopiga golini kwetu unazaa goli tukubali kuwa tumebaki na makombe mawili tuheshimu wenzetu tuache hasira hii game Liver walikuwa na hamu nayo kuliko sisi.
 
Man u inacheza watu wote wana huzuni.


Genge la wahuni limepigwa na kitu kizito😅😅😅
 
Rashidada
IMG_20230305_212413.jpg
 
Back
Top Bottom