christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,060
Mkuu kubali kuwa mpira matokeo yake yanapatikana uwanjani kifupi wachezaji wetu wamechoka sana na pia leo sisi hatukuwa na bahati maana sisi ndio tulianza kupata nafasi tukachezea lakini angalia Liver kila mpira wataopiga golini kwetu unazaa goli tukubali kuwa tumebaki na makombe mawili tuheshimu wenzetu tuache hasira hii game Liver walikuwa na hamu nayo kuliko sisi.Usitetee upumbavu Mkuu nikulize gemu yetu na West Ham bissaka hakucheza, lakin why Leo asingeanzishwa ili huyo dalot apumzike! Ten hag na bichwa lake Kama fuvu la dagaa hua cjui anasisimizi kichwani maana hii gemu amechangia pakubwa kufungwa goli hizi za kudhalilisha.
