Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Ndio ndio ***** ndo naamkaTangu ameondoka mane timu ni kama haina muunganiko hasa mbele kule


Ndio ndio ***** ndo naamkaTangu ameondoka mane timu ni kama haina muunganiko hasa mbele kule


Marehemu alkua na dharau Sana alidai Hawezi kufa kizembeKwa Hali tuliyonayo kwa sasa plus morali ,,,, ! Tunao uwezo wa kuifunga timu yeyote Europe !!
As well wachezaji wakijitoa 100%, uchoyo wakitoa, jogoo anakufa mapema Sana !
Liverpool atufunge Kwa mid ya hendo ? Keita ? Milner? Fab sio yule wa 2019/2020, kidoogo bwana mdogo bajetic ana kitu mguuni !
Let's go reds
#GGMU


Njoo ushushie na seven up pumbafuTunajipatia supu ya jogoo leoView attachment 2538195
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitaka ujue saba nyingine zigeuze kuwa chapati halafu unywe na seven up
Lazima ufe



Kachinjwa mwanangu ni huzuniJogoo anachinjwa leo. View attachment 2538193
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app


Afu chama kubwa linaloongoza kwa Mashabiki wengi duniani linakosaje Watu waongeaji nakati kwenye msafara wa mamba huwa kenge hawakosekani?
Yani mnafananaje tabia kwa wingi huo wa Mashabiki tele duniani?
Tumemkomeshaanatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager

You know balls broHii mechi ya leo nikiri upinzani utakua mkubwa ili tushinde mbele uchoyo unatakiwa kuachwa leo.
Kila chance itumike vizuri.
Vinginevyo tunatoka anfield kichwa chini.
Come on boys
Jogoo afe tu
Wewe ni moja ya mashabiki wachache wa man u mwenye akiliHii mechi ya leo nikiri upinzani utakua mkubwa ili tushinde mbele uchoyo unatakiwa kuachwa leo.
Kila chance itumike vizuri.
Vinginevyo tunatoka anfield kichwa chini.
Come on boys
Jogoo afe tu
You know ball bro respectanatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager