Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa Hali tuliyonayo kwa sasa plus morali ,,,, ! Tunao uwezo wa kuifunga timu yeyote Europe !!

As well wachezaji wakijitoa 100%, uchoyo wakitoa, jogoo anakufa mapema Sana !

Liverpool atufunge Kwa mid ya hendo ? Keita ? Milner? Fab sio yule wa 2019/2020, kidoogo bwana mdogo bajetic ana kitu mguuni !

Let's go reds

#GGMU
Marehemu alkua na dharau Sana alidai Hawezi kufa kizembe

Kauliwa na mbu maskini
 
Mume hamtongozi mkewe hata siku moja! 😂
IMG_20230305_224349_952.jpg
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Tumemkomesha
Profesa wao wa gengeni

Na kauli zake za shombo
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
You know ball bro respect
 
Back
Top Bottom