Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 7,697
- 15,965
noma sana.Kipondo kizito mno...
noma sana.Kipondo kizito mno...
Sasa kuna team za kufungwa na Man U ila sio Chelsea yaani na ukibonde wenu huohuo msishangae mkaondoka na alama 3 pale OT hii ni kuanzia enzi za Mzee fergi...kuna game Hazard alitukanda nyingi sikumbuki ngapi ila ilikua na maumivu kama ya LeoTupo vibonde Chelsea FC tunasubiri kwa hamu ili Harry Potter afukuzwe
Daah banda zima Liverpool nilikua peke yangu tu,walipokua wanatukosa kosa wanashangilia
Mambo yalipogeuka nikashangaa naongea peke yangu![]()





Marehemu alikua ana mdomo sanaKatika game ambazo Ten Hag anazipenda ni game kama hii ya leo ili awaonyeshe ni jinsi gani hamjui
Najitoa ufahamuHapo ni 8 kwa 2,maana yake ni 6 kwa 0
Leo mmepigwa 7 kwa 0

Hizo gd 6 liva gd 7.....liva ana cleansheat kabisa bora arsenal alifurukutaTunacho shukuru Liverpool mjavunja hii record tu.View attachment 2538520
Mwisho wa msimu ndio maana hua tunamaliza na GD 0.4 dhidi ya brentford
6 dhidi ya manchester city
7 dhidi ya liverpool
Mechi 3 tumeruhusu magoli 17