Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tupo vibonde Chelsea FC tunasubiri kwa hamu ili Harry Potter afukuzwe
Sasa kuna team za kufungwa na Man U ila sio Chelsea yaani na ukibonde wenu huohuo msishangae mkaondoka na alama 3 pale OT hii ni kuanzia enzi za Mzee fergi...kuna game Hazard alitukanda nyingi sikumbuki ngapi ila ilikua na maumivu kama ya Leo
 
Nyumbu7
IMG-20230305-WA0015.jpg
 
Kuna nyimbo niliimbiga enz hizo, nimeikumbuka.
How many days in the week ......
 
Salamu Za Pole Na Rambi Rambi Zinaendelea Kutumwa Unyumbuni

CR7 Hajawa Mbal Amesema Atatoa Mifuko Ya Tende Na Ngamia
 
Back
Top Bottom