Hizo gd 6 liva gd 7.....liva ana cleansheat kabisa bora arsenal alifurukutaTunacho shukuru Liverpool mjavunja hii record tu.View attachment 2538520
Mwisho wa msimu ndio maana hua tunamaliza na GD 0.4 dhidi ya brentford
6 dhidi ya manchester city
7 dhidi ya liverpool
Mechi 3 tumeruhusu magoli 17
Kaone kwanza haka ka-pisi kali ka Chelsea FC kalivyo kanafki kwa kung'ata huku kanapulizaPoleni bhaana ndiyo mpira, wenzenu blues tushajizoelea maumivu hata hatushtuki tena..!!
Ila tuache utani 7 nyingi mno..!!

Acha ujinga maana hainogi kama Arse8 bhanaMan week fc

Mwisho wa msimu ndio maana hua tunamaliza na GD 0.
Liverpool ni timu isiyokua na utu hata kidogo kila inapokutana na Man Utd.






Daah banda zima Liverpool nilikua peke yangu tu,walipokua wanatukosa kosa wanashangilia
Mambo yalipogeuka nikashangaa naongea peke yangu![]()



Mashabiki hawajakupiga kweli?Binadamu ni wanafki sana, kuna Mawatu yalikuwa yameibetia Man Utd kushinda hii mechi, yalivyoingia magoli mawili wakadai hii mechi itafanyika come back na Man Utd itashinda, yalivyoingia magoli matatu wakadai itaisha suluhu, walipofungwa magoli matano wakaigeukia Liverpool wakiishangilia na kuizomea Man Utd wakisema "bado la saba, bado la saba" daaah hatimaye yakawa kweli....Huu mpira nimeutazama leo banda umiza, yaani nimecheka mno..!! Kuna wadau wana maneno mule balaa..!!

Hata hivyo tumewafanyia ubinadamMwisho wa msimu ndio maana hua tunamaliza na GD 0.
Liverpool ni timu isiyokua na utu hata kidogo kila inapokutana na Man Utd.
