mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,364
- 21,449
Timu inayocheza kitimu zaidi utafungwa na yeyote sio lazima striker.,sababu wanashambulia kwa pamoja na kulinda kwa pamoja,Bora Tuwe Na Weghorst, Binafsi Namkubali Jamaa Anajitoa Sana Kwenye Kukaba Tunaposhambuliwa….Weghorst Ndio Maana Ya “Striker Kama Kufunga Umeshindwa Basi Zuia”
Striker jukumu lake ni kufunga lakini timu ikiwa haina wapishi wa kutosha kumlisha mipira/timu ikiwa inashambuliwa yabidi arudi kwenye kuzuia na kutafuta chances za kufunga .
Man U bado timu haina wapishi wazuri wa kufanya weghorst arelax asuburi nafasi.
Ni lazima atafute chances na afanye defending pia.
Jamaa yupo vzr sn,na wanaombeza Kwa sasa, Kuna siku watatamani arudi uwanjani.
Jamaa yupo vzr sn
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app


🤍

Time
Stadium