Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

So far I'm very grateful kikombe na top 4 kwa tulipotoka mwaka jana na tulipo sasa hivi sina ninachowadai wachezaji na kocha.

Tuna clean sheets 19 msimu huu sawa sawa na Barcelona kwa ligi 5 za Ulaya. Tumeshinda mechi 29 ktk 40 msimu huu msimu uliopita tulishinda mechi 20 tu msimu mzima.
 
Hata Klopp kwangu mimi bado ni bonge la kocha ila tatizo lake ana roho nzuri sana (He's a classic Mr. Nice guy). Inabidi ajifunze tabia ya kuwa na roho ngumu kidogo kama Pep Guardiola, baada ya misimu kadhaa ya kucheza top football ni lazima ufanye kupunguza baadhi ya wachezaji na kuleta wapya hasa hasa wale wenye umri mkubwa.
Unawezaje kusema ni mzuri wakati anawaogopa baadhi ya wachezaji?
Kuna wachezaji wamechoka na ni wazee ila hataki kuwatoa na Kila siku anawaanzisha kwenye kupanga kikosi.

Yaani muda mwingine anaogopa kufanya sub,kisa mchezaji atanuna kutolewa.

Unawezaje kusema ni mzuri?

Ten Hag alimuanzisha Cr7 benchi,bila kujali ukubwa wa jina lake
Kuna wachezaji wakileta utovu wa nidhamu,anawapiga benchi,
Klopp anaweza?

Sasa uzuri wake uko wapi hapo kama tunafungwa Kila siku.

Lazima tukubali,Ten Hag, Pep na Kocha wa New Castle ndio Makocha bora kwa sasa.
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Tutasajili wengi sana hapo golini lakini guts za kutaka De Gea awe benchi hatujawahi kuwa nazo.
 
Fred sijui kaanza kupata confidence ya kucheza pembeni ya kaka yake Casemiro,anaupiga mwingi sana recently hadi tumesahau kama Sabitzer yuko benchi.

Anthony kaanza kuimarika kiwango hasa kwenye upande wa ushambuliaji,nahisi wale doubters wake watajua Erik hanaga kazi mbovu.

One down,Three to wrap up!
Fred alikuwa anazingua akiwa Utd tu, huko kimataifa akiwa na Brazil alikuwa anabadilika sana akisimama na Casemiro mpaka tunabaki kushangaa.

Ile pattern aliyokuwa anatana nayo akiwa na team ya taifa kwasasa kasogezewa hapohapo Utd, kwanini asiupige mwingi?
 
Unawezaje kusema ni mzuri wakati anawaogopa baadhi ya wachezaji?
Kuna wachezaji wamechoka na ni wazee ila hataki kuwatoa na Kila siku anawaanzisha kwenye kupanga kikosi.

Yaani muda mwingine anaogopa kufanya sub,kisa mchezaji atanuna kutolewa.

Unawezaje kusema ni mzuri?

Ten Hag alimuanzisha Cr7 benchi,bila kujali ukubwa wa jina lake
Kuna wachezaji wakileta utovu wa nidhamu,anawapiga benchi,
Klopp anaweza?

Sasa uzuri wake uko wapi hapo kama tunafungwa Kila siku.

Lazima tukubali,Ten Hag, Pep na Kocha wa New Castle ndio Makocha bora kwa sasa.

Klopp ni kocha mzuri sana ila kinachomponza ni roho yake nzuri tu, na hicho ndio mapungufu yake makubwa na im sure itamponza kibarua chake, ila endapo akibadilika kidogo akawa na roho mbaya atatusurika
Inapaswa mtu kama VVD au Hendo wanavyozingua unawala vichwa kaa bench bila kuangalia ukubwa wa jina wala ukubwa wa salary, mfano ETH kwa Maguire team captain, CR7 big name na hata majuzi tu Rashford alichezea bench na akambiwa makosa yake
 
Ila stratejia hiyo siyo sahihi sana
Kutokana na aina ya wachezaji tulionao Ni sahihi kabisa weghorst kucheza kama false striker.
Anawapa nafasi attackers kama akina rashfod na wengine kusahauliwa na kuweza kufunga.

Pia anawapa nafasi akina Bruno kushines Zaidi..
Hana speed Lakin ana block zaidi na tackles nyingi uwanjani.
Weghorst anavuruga mipango ya wapinzani kwa kuanza kukabia juu..

Angalia siku akiwa hayupo uwanjani utaona tunavyosakwa..

Huyo jamaa aendelee kuwekwa hapo mbele kama false striker..
Hafungi lakini anabalance timu nzima ya man U..
Jamaa anakaba halafu anawasaka uwanja mzima.,ulipo mpira na yeye yupo.
.
Tofauti na Ronald yeye alikuwa hakabi wala hatafuti mipira Zaidi ya kusubiri nafasi

Kwangu Mimi huyu jamaa anatufaa sn kuendelea kubaki hapo old Trafford.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Klopp ni kocha mzuri sana ila kinachomponza ni roho yake nzuri tu, na hicho ndio mapungufu yake makubwa na im sure itamponza kibarua chake, ila endapo akibadilika kidogo akawa na roho mbaya atatusurika
Inapaswa mtu kama VVD au Hendo wanavyozingua unawala vichwa kaa bench bila kuangalia ukubwa wa jina wala ukubwa wa salary, mfano ETH kwa Maguire team captain, CR7 big name na hata majuzi tu Rashford alichezea bench na akambiwa makosa yake
Sasa uliza kama Klopp anaweza muanzisha benchi VVD
Salah tu kufanyiwa sub ananuna na Klopp anaogopa
Halafu bado mnasema kocha mzuri.


Kocha mzuri bila matokeo mazuri ni kazi bure.
 
Wout Weghorst Defensive Striker
IMG_0902.jpg

🤍
 
Wout Weghorst Defensive Striker View attachment 2531960
🤍
Timu ya man U kwa sasa inakabia juu.
Na kila kocha na falsafa zake.
Ten Hag ameamua kwenda na huyo Weghorst na katuletea ubingwa man united.

Kumbuka nafasi anayocheza yeye alikuwa anacheza stricker wa Dunia,
Christiano Ronaldo na timu ilikuwa inapigwa kama Ngoma tena kila week.
Sasa bora kuwa na huyu defensive striker tuchukuwe makombe au tuwe na striker lakini tunapigwa kama ngoma?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Timu ya man U kwa sasa inakabia juu.
Na kila kocha na falsafa zake.
Ten Hag ameamua kwenda na huyo Weghorst na katuletea ubingwa man united.

Kumbuka nafasi anayocheza yeye alikuwa anacheza stricker wa Dunia,
Christian Ronaldo na timu ilikuwa inapigwa kama Ngoma tena kila week.
Sasa bora kuwa na huyu defensive striker tuchukuwe makombe au tuwe na striker lakini tunapigwa kama ngoma?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Bora Tuwe Na Weghorst, Binafsi Namkubali Jamaa Anajitoa Sana Kwenye Kukaba Tunaposhambuliwa….Weghorst Ndio Maana Ya “Striker Kama Kufunga Umeshindwa Basi Zuia”
 
Bora Tuwe Na Weghorst, Binafsi Namkubali Jamaa Anajitoa Sana Kwenye Kukaba Tunaposhambuliwa….Weghorst Ndio Maana Ya “Striker Kama Kufunga Umeshindwa Basi Zuia”
Timu inayocheza kitimu zaidi utafungwa na yeyote sio lazima striker.,sababu wanashambulia kwa pamoja na kulinda kwa pamoja,

Striker jukumu lake ni kufunga lakini timu ikiwa haina wapishi wa kutosha kumlisha mipira/timu ikiwa inashambuliwa yabidi arudi kwenye kuzuia na kutafuta chances za kufunga .

Man U bado timu haina wapishi wazuri wa kufanya weghorst arelax asuburi nafasi.

Ni lazima atafute chances na afanye defending pia.

Jamaa yupo vzr sn,na wanaombeza Kwa sasa, Kuna siku watatamani arudi uwanjani.
Jamaa yupo vzr sn

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu sikatai, ila mjadala kipindi hicho Eth anakuja humu ni kwamba Auzwe, Hoja yangu ilikuwa hakuna beki duniani anayekaba kuliko AWB na akicheza na winga machachari ni kama huyo Winger amepewa kadi nyekundu, hivyo anatupa profile ambayo hatutaipata kwa mtu yoyote yule.

Jana ni mfano mzuri sana wa namna ya Kumtumia AWB, timu inaongoza 2-0 wapinzani wanakuja kama Nyuki, maximin anamgeuza geuza tu Dalot, Solution ni yeye kuingia na kumaliza mchezo.
Jamaa ukiacha hizo kazi zingine tunazotaka kumpa za kushambulia kazi yake ya kukaba sijawahi kuwa na mashaka nayo na jana mapema nilisema max msumbufu atamsumbua Dalot sana. Alivyoingia bissaka akatulizwa.
 
Back
Top Bottom