Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bora Tuwe Na Weghorst, Binafsi Namkubali Jamaa Anajitoa Sana Kwenye Kukaba Tunaposhambuliwa….Weghorst Ndio Maana Ya “Striker Kama Kufunga Umeshindwa Basi Zuia”
Timu inayocheza kitimu zaidi utafungwa na yeyote sio lazima striker.,sababu wanashambulia kwa pamoja na kulinda kwa pamoja,

Striker jukumu lake ni kufunga lakini timu ikiwa haina wapishi wa kutosha kumlisha mipira/timu ikiwa inashambuliwa yabidi arudi kwenye kuzuia na kutafuta chances za kufunga .

Man U bado timu haina wapishi wazuri wa kufanya weghorst arelax asuburi nafasi.

Ni lazima atafute chances na afanye defending pia.

Jamaa yupo vzr sn,na wanaombeza Kwa sasa, Kuna siku watatamani arudi uwanjani.
Jamaa yupo vzr sn

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu sikatai, ila mjadala kipindi hicho Eth anakuja humu ni kwamba Auzwe, Hoja yangu ilikuwa hakuna beki duniani anayekaba kuliko AWB na akicheza na winga machachari ni kama huyo Winger amepewa kadi nyekundu, hivyo anatupa profile ambayo hatutaipata kwa mtu yoyote yule.

Jana ni mfano mzuri sana wa namna ya Kumtumia AWB, timu inaongoza 2-0 wapinzani wanakuja kama Nyuki, maximin anamgeuza geuza tu Dalot, Solution ni yeye kuingia na kumaliza mchezo.
Jamaa ukiacha hizo kazi zingine tunazotaka kumpa za kushambulia kazi yake ya kukaba sijawahi kuwa na mashaka nayo na jana mapema nilisema max msumbufu atamsumbua Dalot sana. Alivyoingia bissaka akatulizwa.
 
Naona tuna ingizo jipya kinda mpya.
Screenshot_20230227-195031.jpg
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Vyote viwili, hizo ni sifa mbili muhimu.
Lazima kipa awe nazo zote.

De gea anaweza kusainiwa ila mshahara wake ukapungua. Halafu tukanunua young GK, ambae atamreplace De Gea, in after one year au two years
 
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.

Ingekua wapo kina Woodward na Timu yake Antony asingesajiliwa.
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
 
Ndio, Bruno ni no 10, creativity tunamtegemea yeye tu toka Eriksen aumie. Sasa hivi Fred/Sabitzer ndio wanacheza 8 ambao wote wapo limited suala zima la utengenezaji nafasi.
Mimi naona tunahitaji no 8, wakuanza( labda huyo ndio unaita kiungo mshambuliaji).
Mimi namuita Progressive CM.
Mfano wa Jude B, De Jong etc.

Yaani kiungo kina kuwa na Casemiro + Progressive CM + Bruno.

Kwa sasa hatuna mtu kama huyo, ndio maana tunamtumia Eriksen. Ila nae ana limitations zake.
 
Tutasajili wengi sana hapo golini lakini guts za kutaka De Gea awe benchi hatujawahi kuwa nazo.
Kipa anavyozeeka ndo anazidi kuwa mahiri.

Kubadili kipa iwe hatua ya mwisho kabisa kwamba namba zote zimesajiliwa na zinafanya inavyopaswa kufanya na kipa ndo anatuchelewesha.

De Gea ana misimu mingine kama 6 au 7 ya kutetea namba yake.
 
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
Mayorga sio Chief Scout wetu mkuu, ni katika Scout wakubwa, wapo kama 30 hivi kwenye mamia ya Scout ambao wanafanya kazi chini ya Murtough na Fletcher huyo Mayorga ni mmoja wao.
 
Eneo lipi la kufanyia usajili mzuri ukiondoa striker ?
Nadhani tunahitaji beki wa kulia atakayetoa changamoto kwa Bisaka na Dolot coz hawa jamaa wamekuwa hawana consistence. Pia tunahitaji kiungo mkabaji mwingine mwenye karba ya Casemiro. Kuhusu beki wa kati hapo hamna shaka coz Shaw pia anaweza kutumikia eneo hilo endapo kutakuwa na mahitaji.
 
Back
Top Bottom