Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.

Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)

Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.

Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.

Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
 
Liverpool Baba Lao
90min_football-20230227-0001.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tuna eriksen nje, de Jong anatosha sisi sio chelsea....kama itafaa midfielder mmoja, striker mmoja, winger mmoja, na beki mmoja. akisajili hivi, tena alete wachezaji wanaoleta impacts tofaut na waliopo basi tutatisha sana next season.
Wachezaji watatu msimu ujao kazi imeisha. Mimi ni muumini wa quality over quantity, kuna nafasi hazina haja ya kuongeza watu.
 
Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)

Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.

Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.

Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
Ikitokea Qatar wameichukua timu.

Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.

Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.
 
Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.

Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Madrid wali struggle sana baada ya kumuuza Makelele mpaka wakaja kumpata Kroos, Casemiro na sasa wana Tchoumeni, Camavinga nk hakika wana jicho kali sana.

Man U ifanye tabia ya kuchukua viungo pale Madrid. Maana hata Makelele alivyoondoka pale Chelsea ilikuwa bora sana.
 
Ten Hag ni mwalimu mzuri.
Kikosi ni almost kilekile Cha msimu uliopita,lakini ameweza kubadili na timu inafanya vizuri, kitu ambacho Makocha wetu akina Klopp wameshindwa.


Kwa kweli man u mnaupiga mwingi..
Vijana wakiendelea kupambana hivi mnaweza beba makombe yote.
 
Hahahahahaa vikombe vingi hapo L'pool walichukuwa kipindi wachezaji wanavaa vichupi chini ya miaka ya 1990.

Kuna mwanangu ni mshabiki wa L'pool toka amezaliwa hakuwahi kushuhudia kombe la EPL ndio mwaka juzi lilipopatikana ikabidi na yeye aende kusheherekea kabisa huko huko.
wee jamaa wakikusikia wenyewe
 
Ikitokea Qatar wameichukua timu.

Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.

Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.

Ingekua wapo kina Woodward na Timu yake Antony asingesajiliwa.
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
 
Back
Top Bottom