Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,107
- 53,624
Ikitokea Qatar wameichukua timu.Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)
Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.
Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.
Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.
Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.