Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,760
- 6,320
Hili ETH anatakiwa kulifanyia sana kazi. Kama jana Rashford alipiga shuti wakati Antony alikuwa kwenye mazingira mazuri sana ya kufunga.Bado kuna tatizo kubwa la uchoyo kule mbele ,kwa mechi za karibuni karibuni nafasi nyingi za magoli tumezipoteza kwa sababu ya ubinafsi wa wachezaji unakuta mtu mwenzake yupo katika nafasi nzuri zaidi ila anafosi ashinde yeye .