GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,436
- 17,308
Bado Goli 5, Rashford awe " The only Player to reach 30goals in a single season since Robin Van Perse in 2012/2013".
Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.
Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Wachezaji watatu msimu ujao kazi imeisha. Mimi ni muumini wa quality over quantity, kuna nafasi hazina haja ya kuongeza watu.Tuna eriksen nje, de Jong anatosha sisi sio chelsea....kama itafaa midfielder mmoja, striker mmoja, winger mmoja, na beki mmoja. akisajili hivi, tena alete wachezaji wanaoleta impacts tofaut na waliopo basi tutatisha sana next season.
Hahahahahaa vikombe vingi hapo L'pool walichukuwa kipindi wachezaji wanavaa vichupi chini ya miaka ya 1990.
Ikitokea Qatar wameichukua timu.Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)
Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.
Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.
Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
Ushasema vikombe mkuuHahahahahaa vikombe vingi hapo L'pool walichukuwa kipindi wachezaji wanavaa vichupi chini ya miaka ya 1990.
Huyu hapa anatufaa asee, huyu mwamba hapana.Kiungo Jombaa. Hatuna mbadala wa Casemiro. Nafasi zote zilizosalia tunaweza kucheza bila yeyote yule timu ita-struggle kidogo ila tutapata matokeo. Ukimuondoa Casemiro timu inakuwa nyeupe sana.
Madrid wali struggle sana baada ya kumuuza Makelele mpaka wakaja kumpata Kroos, Casemiro na sasa wana Tchoumeni, Camavinga nk hakika wana jicho kali sana.Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.
Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Hahahahahaa vikombe vingi hapo L'pool walichukuwa kipindi wachezaji wanavaa vichupi chini ya miaka ya 1990.
Kuna mwanangu ni mshabiki wa L'pool toka amezaliwa hakuwahi kushuhudia kombe la EPL ndio mwaka juzi lilipopatikana ikabidi na yeye aende kusheherekea kabisa huko huko.


wee jamaa wakikusikia wenyeweMapema tu dogo atafikishaBado Goli 5, Rashford awe " The only Player to reach 30goals in a single season since Robin Van Perse in 2012/2013".
Unataka usajili DM tena kama regular starter au squad player tu ?Midfield.
Tukimkosa Casemiro tunatafutana.
Huu ni msimu wake wa pili akiwa injured, hivi karibuni alirudi lakini hayuko sawa kabisaKabsa yuko serious na goal, ana skills, anakaba na speed....kiukweli atafaa sana nadhan hela ikitolewa CHIESA anaweza kutua united.
Ndio, Bruno ni no 10, creativity tunamtegemea yeye tu toka Eriksen aumie. Sasa hivi Fred/Sabitzer ndio wanacheza 8 ambao wote wapo limited suala zima la utengenezaji nafasi.Attacking mid, si yupo Bruno F na Eriksen.
Au ulimanisha kiungo wa chini wa kupandisha mpira juu.
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.Ikitokea Qatar wameichukua timu.
Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.
Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.