Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado kuna tatizo kubwa la uchoyo kule mbele ,kwa mechi za karibuni karibuni nafasi nyingi za magoli tumezipoteza kwa sababu ya ubinafsi wa wachezaji unakuta mtu mwenzake yupo katika nafasi nzuri zaidi ila anafosi ashinde yeye .
Hili ETH anatakiwa kulifanyia sana kazi. Kama jana Rashford alipiga shuti wakati Antony alikuwa kwenye mazingira mazuri sana ya kufunga.
 
Ile break ya World Cup alitumia muda mwingi na wachezaji.

Hapo ndo tumeona improvement kubwa sana kwa baadhi ya wachezaji.

Tukifanikiwa kuondoa ile mizigo na kuleta wengine wapya kama wanne hivi, tutatisha sana.
Hakika.
 
Bado kuna tatizo kubwa la uchoyo kule mbele ,kwa mechi za karibuni karibuni nafasi nyingi za magoli tumezipoteza kwa sababu ya ubinafsi wa wachezaji unakuta mtu mwenzake yupo katika nafasi nzuri zaidi ila anafosi ashinde yeye .
Katika hilo Rashford ni kinara, ameshindwa kabisa kujizuia asipumbazwe na zile sifa za kufunga kila siku, matokeo yake anawaza afunge yeye tu kwanza (kama hajafunga kwanza basi sahau kuona akitoa assist).

Tunapoteza magoli mengi sana.
 
AWB yuko vizuri kwenye kukaba ila hana akili ya mpira ,ni mtu wa kupoteza mipira sana kwenye gemu nyingi tu utulivu hana kabisa.
Sawa mkuu sikatai, ila mjadala kipindi hicho Eth anakuja humu ni kwamba Auzwe, Hoja yangu ilikuwa hakuna beki duniani anayekaba kuliko AWB na akicheza na winga machachari ni kama huyo Winger amepewa kadi nyekundu, hivyo anatupa profile ambayo hatutaipata kwa mtu yoyote yule.

Jana ni mfano mzuri sana wa namna ya Kumtumia AWB, timu inaongoza 2-0 wapinzani wanakuja kama Nyuki, maximin anamgeuza geuza tu Dalot, Solution ni yeye kuingia na kumaliza mchezo.
 
Bado kuna tatizo kubwa la uchoyo kule mbele ,kwa mechi za karibuni karibuni nafasi nyingi za magoli tumezipoteza kwa sababu ya ubinafsi wa wachezaji unakuta mtu mwenzake yupo katika nafasi nzuri zaidi ila anafosi ashinde yeye .
Sababu kubwa inachangia hili ni balance ya wafungaji na watoa pasi,

In other dimension kama tuna Eriksen na Martial wapo fit chance nyingi zingetenezwa kuliko umaliziaji.

Naamini kitu cha kwanza dirisha lijalo anakuja midfield mshambuliaji.
 
Tuna eriksen nje, de Jong anatosha sisi sio chelsea....kama itafaa midfielder mmoja, striker mmoja, winger mmoja, na beki mmoja. akisajili hivi, tena alete wachezaji wanaoleta impacts tofaut na waliopo basi tutatisha sana next season.
Uko Sahihi.
 
Sababu kubwa inachangia hili ni balance ya wafungaji na watoa pasi,

In other dimension kama tuna Eriksen na Martial wapo fit chance nyingi zingetenezwa kuliko umaliziaji.

Naamini kitu cha kwanza dirisha lijalo anakuja midfield mshambuliaji.
Attacking mid, si yupo Bruno F na Eriksen.
Au ulimanisha kiungo wa chini wa kupandisha mpira juu.
 
Tunatakia tupate vijana wenye damu moto hapo latikati.

Sijui Madrid huwa wanafanya vipi kuwa na quality midfield misimu yote, wana jicho kali sana.
Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)

Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.

Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.

Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
 
Liverpool Baba Lao
90min_football-20230227-0001.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tuna eriksen nje, de Jong anatosha sisi sio chelsea....kama itafaa midfielder mmoja, striker mmoja, winger mmoja, na beki mmoja. akisajili hivi, tena alete wachezaji wanaoleta impacts tofaut na waliopo basi tutatisha sana next season.
Wachezaji watatu msimu ujao kazi imeisha. Mimi ni muumini wa quality over quantity, kuna nafasi hazina haja ya kuongeza watu.
 
Hii ndio kazi ya mkurugenzi wa ufundi sana. Mikakati inaanza kufanyika mapema sana na sio kwa ile style ya kuzima moto. (succession plan)

Level ya timu kubwa kama United ili ku-maintain momentum of perfomance unahitaji kuwa na mpango mbadala kwa kila mchezaji muhimu kikosini hata kwa miaka minne mbele.

Shida ya United viongozi wetu wengi wa juu wana maono madogo sana. Kwa nje timu inaonekana kubwa sana ila kwa ndani kuna vilaza wengi sana wasio na shauku kubwa sana ya kupata mataji kila siku.

Ten Hag alipopewa mkataba iliwashtua sana viongozi wengi alipowaambia anataka ku-control mpaka timu ya U-21 ili ajenge mfumo wa ku-connect vijana wadogo na timu kubwa kimfumo wa kiuchezaji.
Ikitokea Qatar wameichukua timu.

Kitu cha kwanza ni kufukuza recruitment department ya Man Utd.

Tutafute watu wanaojua kufanya maamuzi sahihi na kwa haraka.
 
Back
Top Bottom