Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

WBS ndy mchezaji mwenye blocks na tackles nyingi Sana kwenye back line yetu.

Dalot anashambulia Zaidi lakini ni mchovu kwenye kuzuia.
Kwangu Mimi WBS ni bora kuliko Dalot sababu Kazi ya beck ni kuzuia na sio kushambulia.,,
Huyo ndy spider man Aron Bisaka

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
 
Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Naombeni barua ya ETH baada ya mechi ya wembley
Hii hapa boss
Screenshot_20230228-224630_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224634_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224638_Instagram.jpg
Screenshot_20230228-224642_Instagram.jpg
 
Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,

Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.

Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..

Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
I second you bro
 
[emoji599][emoji599][emoji599] All flights in England have been cancelled due to a sandstorm which came after Man United opened their trophy cabinet to put the League Cup in it.

#Joke[emoji16]

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#UnitedfortheFans[emoji2522]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230301_010630_277.jpg
 
[emoji599][emoji599][emoji599] All flights in England have been cancelled due to a sandstorm which came after Man United opened their trophy cabinet to put the League Cup in it.

#Joke[emoji16]

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#UnitedfortheFans[emoji2522]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
View attachment 2533209
Spurs itakuwaje wakifungua trophy cabinet yao
 
Spurs itakuwaje wakifungua trophy cabinet yao
Vumbi kama La Lile Bomu La Hiroshima & Nagasaki[emoji378] Litatanda angani, Guess what [emoji3] Dunia itapitia Magumu pasipo oksijeni kwa miaka 𝕄𝕀𝕋𝔸𝕋𝕌 mfululizo[emoji1787][emoji23][emoji1787]".
 
Back
Top Bottom