Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inategemea na formation ya timu husika.
Zipo timu ambazo zinategemea back wings ziwe zinapanda na kuwa kama wings,

Na zipo timu ambazo back wa pembeni Kazi yake ni kukaba tu.,
Hapewi jukumu la kupandisha timu.

Na zipo timu ambazo zinatumia wings kama striker lakini sio natural striker,
Mfano rashfod, martial,Sancho hawa ni wings na sio strikers.
Weghorst ni natural striker,lakini amepewa jukumu la kukaba juu,,na kuvuruga mipango ya wapinzani.
Akiacha space kwa wings kuingia ndani na kufunga.
Siku atakayowekwa bench weghorst na kuweka martial kama striker ndy siku utanielewa vzr.,

Man U kwa sasa haina quality nzuri Sana ya wachezaji,,
Timu haijabalance,,,uwepo wa weghorst ni kuunganisha balance ya Attacking midefilder na Defensive medifilder.

Still viungo vyetu vipo weak Sana kwa sasa.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Yaani kifupi kwa timu yetu ilivyo na mawinga hatari kwa sasa ambao wote wanauwezo wa kufunga Weghorst ndio Striker sahihi kabisa sababu anaenda kufanya majukumu ya ziada uwanjani huku majukumu ya kufunga akiwaachia mawinga na midfieders yaani ETH ni genius.
 
Hii ya mwisho acha tushangilie tukiwa tuna subiri makombe mengine.
 
Timu inatakiwa kuwa na mshikamano kama hivi Mpaka kocha anauza sura hapo.
20230228_203608.jpg
 
Yaani kifupi kwa timu yetu ilivyo na mawinga hatari kwa sasa ambao wote wanauwezo wa kufunga Weghorst ndio Striker sahihi kabisa sababu anaenda kufanya majukumu ya ziada uwanjani huku majukumu ya kufunga akiwaachuia mawinga na midfieders yaani ETH ni genius.
Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,

Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.

Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..

Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
WBS ndy mchezaji mwenye blocks na tackles nyingi Sana kwenye back line yetu.

Dalot anashambulia Zaidi lakini ni mchovu kwenye kuzuia.
Kwangu Mimi WBS ni bora kuliko Dalot sababu Kazi ya beck ni kuzuia na sio kushambulia.,,
Huyo ndy spider man Aron Bisaka

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
 
Probably hayo yalikuwa majukumu ya beki miaka hiyo but modern football ina demand beki ku assist build up au mashambulizi inapobidi.
Sio timu zote zinategemea Beck za pembeni kupanda,

Hivi unacheza na wingers kama Mbape,saka Salah,Mahrez beki utapanda muda gani?

Si kujitafutia lawama na mashabiki?
Kazi ya Becki ni kukaba,,hayo mengine ni ziada tu.


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,

Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.

Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..

Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
I second you bro
 
Back
Top Bottom