Inategemea na formation ya timu husika.
Zipo timu ambazo zinategemea back wings ziwe zinapanda na kuwa kama wings,
Na zipo timu ambazo back wa pembeni Kazi yake ni kukaba tu.,
Hapewi jukumu la kupandisha timu.
Na zipo timu ambazo zinatumia wings kama striker lakini sio natural striker,
Mfano rashfod, martial,Sancho hawa ni wings na sio strikers.
Weghorst ni natural striker,lakini amepewa jukumu la kukaba juu,,na kuvuruga mipango ya wapinzani.
Akiacha space kwa wings kuingia ndani na kufunga.
Siku atakayowekwa bench weghorst na kuweka martial kama striker ndy siku utanielewa vzr.,
Man U kwa sasa haina quality nzuri Sana ya wachezaji,,
Timu haijabalance,,,uwepo wa weghorst ni kuunganisha balance ya Attacking midefilder na Defensive medifilder.
Still viungo vyetu vipo weak Sana kwa sasa.
Sent from my 2201117SG using
JamiiForums mobile app