GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Vyote viwili, hizo ni sifa mbili muhimu.Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Lazima kipa awe nazo zote.
De gea anaweza kusainiwa ila mshahara wake ukapungua. Halafu tukanunua young GK, ambae atamreplace De Gea, in after one year au two years

Time
Stadium

