Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram Glazer

View attachment 2262793
Manager: Erik ten Hag

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)


View attachment 2262788
Manchester United Premier League fixtures for 2022/23

Follow this thread for team updates!
Carabao Cup, please add.
 
View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram Glazer

View attachment 2262793
Manager: Erik ten Hag

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)


View attachment 2262788
Manchester United Premier League fixtures for 2022/23

Follow this thread for team updates!
Kwawani RASHFORD na Mbappe wakifunga goli , dushe zao huwa zinadisa?

Madaktari wa michezo tusaidieni,
 
Mkome kumfananisha vvd na huyo The butcher wenu ambaye licha ya kubeba world cup kawekwa nje na vvd Rolls-Royce Defender.
brfootball-20230228-0001.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Casemiro: Bruno why didn't pass at the end?.

Bruno: But we win broo, dont take it personal next time i'll do.

Casemiro:
 
Sancho: Next time you pass uuh.
 
Timu inayocheza kitimu zaidi utafungwa na yeyote sio lazima striker.,sababu wanashambulia kwa pamoja na kulinda kwa pamoja,

Striker jukumu lake ni kufunga lakini timu ikiwa haina wapishi wa kutosha kumlisha mipira/timu ikiwa inashambuliwa yabidi arudi kwenye kuzuia na kutafuta chances za kufunga .

Man U bado timu haina wapishi wazuri wa kufanya weghorst arelax asuburi nafasi.

Ni lazima atafute chances na afanye defending pia.

Jamaa yupo vzr sn,na wanaombeza Kwa sasa, Kuna siku watatamani arudi uwanjani.
Jamaa yupo vzr sn

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tumekubaliana kua CF siku hizi kazi zao ni kukaba?
Kwakua tupo kwenye wimbi la ushindi, hata mchezaji mbovu tutamsifu tu.
 
Inategemea na formation ya timu husika.
Zipo timu ambazo zinategemea back wings ziwe zinapanda na kuwa kama wings,
Na zipo timu ambazo back wa pembeni Kazi yake ni kukaba tu.
Hapewi jukumu la kupandisha timu.

Na zipo timu ambazo zinatumia wings kama striker lakini sio natural striker,
Mfano rashfod, martial,Sancho hawa ni wings na sio strikers.
Weghorst ni natural striker,lakini amepewa jukumu la kukaba juu,,na kuvuruga mipango ya wapinzani.
Akiacha space kwa wings kuingia ndani na kufunga.
Siku atakayokaa banch weghorst na kuweka martial kama striker ndy siku utanielewa vzr.
Man U kwa sasa haina quality Sana ya wachezaji,,
Timu haijabalance,,,uwepo wa weghorst ni kuunganisha balance ya Attacking midefilder na Defensive medifilder.

Still viungo vyetu vipo weak Sana kwa sasa.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Lakini mbona kocha alimtoa mapema sana kwenye hiyo mechi na Newcastle?

Hiyo nafasi atafutwe mtu sahihi anaeijua kazi yake, huyo jamaa ni mzinguaji tu.
 
Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
 
Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
WBS ndy mchezaji mwenye blocks na tackles nyingi Sana kwenye back line yetu.

Dalot anashambulia Zaidi lakini ni mchovu kwenye kuzuia.
Kwangu Mimi WBS ni bora kuliko Dalot sababu Kazi ya beck ni kuzuia na sio kushambulia.,,
Huyo ndy spider man Aron Bisaka

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Tunafanye na huu mjadala kuhusu rightback wetu. Ni dhahiri EtH atasajili beki wa pembeni kulia mwenye ubora zaidI ya waliopo kwa sasa yaan Dalot na AWB. Sote tunajua mapungufu ya Dalot ni ukabaji wakati AWB ni kupandisha timu na kumwaga krosi. Lazima mmoja wao abaki awe kama back up ya atakayesajiliwa.

Ingawa tetesi nyingi zinamhusu AWB kuondoka na Dalot kuboreshewa mkataba wake,mimi mawazo yangu yanaona vinginevqyo baada ya performance ya AWB baada ya WC. Kwamba aondoke Dalot halafu AWB abaki kuwa back up. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wakati mwingi tunakutana na winga wasumbufu sana ambao bila ya uwepo wa AWB inakuwa ngumu kuwazuia bila msaada wa midfilder wa kulia,winger wa kulia au beki wa kati kulia kitu ambacho kinaathiri equilibrium ya timu kiumuundo wa ulinzi na ushambuliaji.

Wadau nini maoni yenu kwenye hili.
N.B. Hili jukwaa sasa limekuwa huru kwa ajili ya mashabiki wa man utd pekee baada ya ujio wa EtH na ubora wa timu ukijumlisha na ukweli kwamba man utd ndio timu pekee iko kwenye mashindano yote msimu huu.
Dalot hata krosi zake bado sijazielewa..ukiacha ile aliyompigia Rashford sikumbuki nyingine..huwa anapaisha afadhali hata AWB..
 
Back
Top Bottom