Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Vyote viwili, hizo ni sifa mbili muhimu.
Lazima kipa awe nazo zote.

De gea anaweza kusainiwa ila mshahara wake ukapungua. Halafu tukanunua young GK, ambae atamreplace De Gea, in after one year au two years
 
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.

Ingekua wapo kina Woodward na Timu yake Antony asingesajiliwa.
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
 
Ndio, Bruno ni no 10, creativity tunamtegemea yeye tu toka Eriksen aumie. Sasa hivi Fred/Sabitzer ndio wanacheza 8 ambao wote wapo limited suala zima la utengenezaji nafasi.
Mimi naona tunahitaji no 8, wakuanza( labda huyo ndio unaita kiungo mshambuliaji).
Mimi namuita Progressive CM.
Mfano wa Jude B, De Jong etc.

Yaani kiungo kina kuwa na Casemiro + Progressive CM + Bruno.

Kwa sasa hatuna mtu kama huyo, ndio maana tunamtumia Eriksen. Ila nae ana limitations zake.
 
Tutasajili wengi sana hapo golini lakini guts za kutaka De Gea awe benchi hatujawahi kuwa nazo.
Kipa anavyozeeka ndo anazidi kuwa mahiri.

Kubadili kipa iwe hatua ya mwisho kabisa kwamba namba zote zimesajiliwa na zinafanya inavyopaswa kufanya na kipa ndo anatuchelewesha.

De Gea ana misimu mingine kama 6 au 7 ya kutetea namba yake.
 
Kuna Jamaa anaitwa Jose Maryoga, nafikiri ndio head wa recruitiment( Chief Scout) kwa sasa.
Huyu jama ameanza kazi baada ya Summer window.
Alikuwa head scout kwa upande wa South America region.
Ndiye alimrecommend Caicedo. Hata Enzo Fernandez Pia.
Mayorga sio Chief Scout wetu mkuu, ni katika Scout wakubwa, wapo kama 30 hivi kwenye mamia ya Scout ambao wanafanya kazi chini ya Murtough na Fletcher huyo Mayorga ni mmoja wao.
 
Eneo lipi la kufanyia usajili mzuri ukiondoa striker ?
Nadhani tunahitaji beki wa kulia atakayetoa changamoto kwa Bisaka na Dolot coz hawa jamaa wamekuwa hawana consistence. Pia tunahitaji kiungo mkabaji mwingine mwenye karba ya Casemiro. Kuhusu beki wa kati hapo hamna shaka coz Shaw pia anaweza kutumikia eneo hilo endapo kutakuwa na mahitaji.
 
Tumelud tumelud😁💪
images (6).jpeg
 
View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram Glazer

View attachment 2262793
Manager: Erik ten Hag

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)


View attachment 2262788
Manchester United Premier League fixtures for 2022/23

Follow this thread for team updates!
Carabao Cup, please add.
 
View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram Glazer

View attachment 2262793
Manager: Erik ten Hag

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)


View attachment 2262788
Manchester United Premier League fixtures for 2022/23

Follow this thread for team updates!
Kwawani RASHFORD na Mbappe wakifunga goli , dushe zao huwa zinadisa?

Madaktari wa michezo tusaidieni,
 
Casemiro: Bruno why didn't pass at the end?.

Bruno: But we win broo, dont take it personal next time i'll do.

Casemiro:
 
Sancho: Next time you pass uuh.
 
Timu inayocheza kitimu zaidi utafungwa na yeyote sio lazima striker.,sababu wanashambulia kwa pamoja na kulinda kwa pamoja,

Striker jukumu lake ni kufunga lakini timu ikiwa haina wapishi wa kutosha kumlisha mipira/timu ikiwa inashambuliwa yabidi arudi kwenye kuzuia na kutafuta chances za kufunga .

Man U bado timu haina wapishi wazuri wa kufanya weghorst arelax asuburi nafasi.

Ni lazima atafute chances na afanye defending pia.

Jamaa yupo vzr sn,na wanaombeza Kwa sasa, Kuna siku watatamani arudi uwanjani.
Jamaa yupo vzr sn

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tumekubaliana kua CF siku hizi kazi zao ni kukaba?
Kwakua tupo kwenye wimbi la ushindi, hata mchezaji mbovu tutamsifu tu.
 
Back
Top Bottom