Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fred sijui kaanza kupata confidence ya kucheza pembeni ya kaka yake Casemiro,anaupiga mwingi sana recently hadi tumesahau kama Sabitzer yuko benchi.

Anthony kaanza kuimarika kiwango hasa kwenye upande wa ushambuliaji,nahisi wale doubters wake watajua Erik hanaga kazi mbovu.

One down,Three to wrap up!
 
Man united haina Recruiting department walishafukuzwa mbona, Eth ndio yupo responsible kwenye usajili plus Arnold na Murtough, kuna kipindi walimchukua kwa Muda kaka yake Will Keane naye pia ameshaondolewa.

Ingekua wapo kina Woodward na Timu yake Antony asingesajiliwa.
Mbona mambo yanakuwa slow sana sasa?

Inatakiwa dirisha likifunguliwa watu wanasajiliwa in a week then pre season inaanza.

Sio ile mtu anakuja na ligi ishaanza.
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Sioni shida ya golikipa as of now.

Huyo huyo anaweza tengenezwa akawa jinsi kocha anataka awe.

Huwa naona goalkeeping ni sensitive area haihitaji majaribio na sio wa kubadilishwa hovyo.
 
Mbona mambo yanakuwa slow sana sasa?

Inatakiwa dirisha likifunguliwa watu wanasajiliwa in a week then pre season inaanza.

Sio ile mtu anakuja na ligi ishaanza.
Dirisha lote lililopita Carrington ndio ilikuwa head of recruitment, Kocha ndio alisema nani na nani aje, hapa ni mpaka timu iuzwe ndio waajiriwe watu wengine si rahisi kuajiriwa mtu katikati ya msimu.
 
Ten Hag ni mwalimu mzuri.
Kikosi ni almost kilekile Cha msimu uliopita,lakini ameweza kubadili na timu inafanya vizuri, kitu ambacho Makocha wetu akina Klopp wameshindwa.


Kwa kweli man u mnaupiga mwingi..
Vijana waliendelea kupambana hivi mnaweza beba makombe yote.
Hata Klopp kwangu mimi bado ni bonge la kocha ila tatizo lake ana roho nzuri sana (He's a classic Mr. Nice guy). Inabidi ajifunze tabia ya kuwa na roho ngumu kidogo kama Pep Guardiola, baada ya misimu kadhaa ya kucheza top football ni lazima ufanye kupunguza baadhi ya wachezaji na kuleta wapya hasa hasa wale wenye umri mkubwa.
 
Kama ningekuwa Nina mamlaka pale unite Leo ningeandaa cheque nimsajili Bruno Guimarães - Kiungo matata kutoka Newcastle United.

Navutiwa Sana na uchezaji wake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Real Madrid walijaribu kufanya-enquiry waliambiwa he's not for sale unless mnataka mpasue kibubu. NU wao walimnunua mwaka jana kwa £40M.
 
Hakuna dirisha ambalo sajili zake zimekuwa bora kama za huu msimu wa 2022/2023 toka Fergie aondoke OT.
Sajiri za kimkakati huwa zinakuwa na mafanikio sana. Ulimsikia Ten Hag alipokuwa anamzungumzia Lisandro jana? Jinsi alivyokuwa anamuongelea anakuambia nia aina ya wachezaji unaweza kumuamini kukufanyia kazi na anajitoa kwa 100% uwanjani bila kukuangusha.
 
So far I'm very grateful kikombe na top 4 kwa tulipotoka mwaka jana na tulipo sasa hivi sina ninachowadai wachezaji na kocha.

Tuna clean sheets 19 msimu huu sawa sawa na Barcelona kwa ligi 5 za Ulaya. Tumeshinda mechi 29 ktk 40 msimu huu msimu uliopita tulishinda mechi 20 tu msimu mzima.
 
Hata Klopp kwangu mimi bado ni bonge la kocha ila tatizo lake ana roho nzuri sana (He's a classic Mr. Nice guy). Inabidi ajifunze tabia ya kuwa na roho ngumu kidogo kama Pep Guardiola, baada ya misimu kadhaa ya kucheza top football ni lazima ufanye kupunguza baadhi ya wachezaji na kuleta wapya hasa hasa wale wenye umri mkubwa.
Unawezaje kusema ni mzuri wakati anawaogopa baadhi ya wachezaji?
Kuna wachezaji wamechoka na ni wazee ila hataki kuwatoa na Kila siku anawaanzisha kwenye kupanga kikosi.

Yaani muda mwingine anaogopa kufanya sub,kisa mchezaji atanuna kutolewa.

Unawezaje kusema ni mzuri?

Ten Hag alimuanzisha Cr7 benchi,bila kujali ukubwa wa jina lake
Kuna wachezaji wakileta utovu wa nidhamu,anawapiga benchi,
Klopp anaweza?

Sasa uzuri wake uko wapi hapo kama tunafungwa Kila siku.

Lazima tukubali,Ten Hag, Pep na Kocha wa New Castle ndio Makocha bora kwa sasa.
 
Kwa sasa fans tumeanza kujadili mipango ya usajili msimu ujao ila katika wote sijasikia mtu akiongelea nafasi ya goal keeper. Wakati msimu unaanza wengi tuliona De Gea ni tatizo kwa kuangalia falsafa za uanzishaji mashambulizi za EtH. Sasa tukubaliane moja,tunahitaji shot stopper (Dave) au ball playing Golie(tusajili)?
Tutasajili wengi sana hapo golini lakini guts za kutaka De Gea awe benchi hatujawahi kuwa nazo.
 
Fred sijui kaanza kupata confidence ya kucheza pembeni ya kaka yake Casemiro,anaupiga mwingi sana recently hadi tumesahau kama Sabitzer yuko benchi.

Anthony kaanza kuimarika kiwango hasa kwenye upande wa ushambuliaji,nahisi wale doubters wake watajua Erik hanaga kazi mbovu.

One down,Three to wrap up!
Fred alikuwa anazingua akiwa Utd tu, huko kimataifa akiwa na Brazil alikuwa anabadilika sana akisimama na Casemiro mpaka tunabaki kushangaa.

Ile pattern aliyokuwa anatana nayo akiwa na team ya taifa kwasasa kasogezewa hapohapo Utd, kwanini asiupige mwingi?
 
Unawezaje kusema ni mzuri wakati anawaogopa baadhi ya wachezaji?
Kuna wachezaji wamechoka na ni wazee ila hataki kuwatoa na Kila siku anawaanzisha kwenye kupanga kikosi.

Yaani muda mwingine anaogopa kufanya sub,kisa mchezaji atanuna kutolewa.

Unawezaje kusema ni mzuri?

Ten Hag alimuanzisha Cr7 benchi,bila kujali ukubwa wa jina lake
Kuna wachezaji wakileta utovu wa nidhamu,anawapiga benchi,
Klopp anaweza?

Sasa uzuri wake uko wapi hapo kama tunafungwa Kila siku.

Lazima tukubali,Ten Hag, Pep na Kocha wa New Castle ndio Makocha bora kwa sasa.

Klopp ni kocha mzuri sana ila kinachomponza ni roho yake nzuri tu, na hicho ndio mapungufu yake makubwa na im sure itamponza kibarua chake, ila endapo akibadilika kidogo akawa na roho mbaya atatusurika
Inapaswa mtu kama VVD au Hendo wanavyozingua unawala vichwa kaa bench bila kuangalia ukubwa wa jina wala ukubwa wa salary, mfano ETH kwa Maguire team captain, CR7 big name na hata majuzi tu Rashford alichezea bench na akambiwa makosa yake
 
Ila stratejia hiyo siyo sahihi sana
Kutokana na aina ya wachezaji tulionao Ni sahihi kabisa weghorst kucheza kama false striker.
Anawapa nafasi attackers kama akina rashfod na wengine kusahauliwa na kuweza kufunga.

Pia anawapa nafasi akina Bruno kushines Zaidi..
Hana speed Lakin ana block zaidi na tackles nyingi uwanjani.
Weghorst anavuruga mipango ya wapinzani kwa kuanza kukabia juu..

Angalia siku akiwa hayupo uwanjani utaona tunavyosakwa..

Huyo jamaa aendelee kuwekwa hapo mbele kama false striker..
Hafungi lakini anabalance timu nzima ya man U..
Jamaa anakaba halafu anawasaka uwanja mzima.,ulipo mpira na yeye yupo.
.
Tofauti na Ronald yeye alikuwa hakabi wala hatafuti mipira Zaidi ya kusubiri nafasi

Kwangu Mimi huyu jamaa anatufaa sn kuendelea kubaki hapo old Trafford.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Klopp ni kocha mzuri sana ila kinachomponza ni roho yake nzuri tu, na hicho ndio mapungufu yake makubwa na im sure itamponza kibarua chake, ila endapo akibadilika kidogo akawa na roho mbaya atatusurika
Inapaswa mtu kama VVD au Hendo wanavyozingua unawala vichwa kaa bench bila kuangalia ukubwa wa jina wala ukubwa wa salary, mfano ETH kwa Maguire team captain, CR7 big name na hata majuzi tu Rashford alichezea bench na akambiwa makosa yake
Sasa uliza kama Klopp anaweza muanzisha benchi VVD
Salah tu kufanyiwa sub ananuna na Klopp anaogopa
Halafu bado mnasema kocha mzuri.


Kocha mzuri bila matokeo mazuri ni kazi bure.
 
Wout Weghorst Defensive Striker
IMG_0902.jpg

🤍
 
Wout Weghorst Defensive Striker View attachment 2531960
🤍
Timu ya man U kwa sasa inakabia juu.
Na kila kocha na falsafa zake.
Ten Hag ameamua kwenda na huyo Weghorst na katuletea ubingwa man united.

Kumbuka nafasi anayocheza yeye alikuwa anacheza stricker wa Dunia,
Christiano Ronaldo na timu ilikuwa inapigwa kama Ngoma tena kila week.
Sasa bora kuwa na huyu defensive striker tuchukuwe makombe au tuwe na striker lakini tunapigwa kama ngoma?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Timu ya man U kwa sasa inakabia juu.
Na kila kocha na falsafa zake.
Ten Hag ameamua kwenda na huyo Weghorst na katuletea ubingwa man united.

Kumbuka nafasi anayocheza yeye alikuwa anacheza stricker wa Dunia,
Christian Ronaldo na timu ilikuwa inapigwa kama Ngoma tena kila week.
Sasa bora kuwa na huyu defensive striker tuchukuwe makombe au tuwe na striker lakini tunapigwa kama ngoma?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app

Bora Tuwe Na Weghorst, Binafsi Namkubali Jamaa Anajitoa Sana Kwenye Kukaba Tunaposhambuliwa….Weghorst Ndio Maana Ya “Striker Kama Kufunga Umeshindwa Basi Zuia”
 
Back
Top Bottom