Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fundi wa boli huyu hapa 'vegost'

Ukinuna uwe na sababu
20230212_195257.jpg
 
Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
sina shaka na Udoctor wake
 
Uzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika nauhakika wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
 
Angalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Kama Ten hag anamuamin... just trust the process tuu ndo hivi hivi tunaenda
 
Uzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika natumaini wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
ingekuwa tumeanza Ot wangekuja
 
Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
 
Back
Top Bottom