adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,517
- 33,685
Kwa Rashford naona ameiprove sana ,ukimuuliza kocha yeyote kwa sasa anapenda kukutana na Man U lazima amuhofie Rashford , akishika mipra karibu na eneo la box lazima hatari itokee kwa wapinzani na yuko vizuri katika kufanya maaamuzi sahihi .Mpeni sifa zake tuu jamaa anapambana ila kafunga goli gumu kwel
