Karibu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .Rash jamani vipi tena hapa
Hapo ndio wachezaji wetu wanafail mimi ndio maana mpka sasa sijaona ubaya wa WeighorstKaribu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
Wachezaji wenzake hawamuamini kabisa sijui kwa nini..Hapo ndio wachezaji wetu wanafail mimi ndio maana mpka sasa sijaona ubaya wa Weighorst
Ubinafsi unatucost sanaKaribu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
Malizia ubinafsi wa Rashford, Barca angekufa 4 hapaUbinafsi unatucost sana
Amebebwa sana, mpaka aibu.Mamaee Barca anabebwa