Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford akituliza mawenge ni bonge la player wa kiwango cha juu kabisa aana kila kitu mguuni kwake tena sasa anvyofunga confidence inazidi kuongezeka..
Hamna kitu mule, kuna mwana yeye ni Liverpool tangu wakati rashford anaingia ingia kwenye kikosi mm nilikuwa namkubali sana ila jamaa akawa ananiambia hamna kitu mule nikawa nambishia, kwasasa nakubaliana naye 100% na ndiyo maana hata national team anaingia kibahati bahati tu Southgate keshamstukia.
 
Jamaa hata anasaidia kukaba hata hivyo mimi nina natumaini makubwa pale bado hatujapigwa hata kidogo ila ushirikiano mdogo anapata uwanjani.
Waarabu wakichukua timu hiyo takataka haikai hata benchi.
 
Gemu kama ya leo piga nikupigie mara ya mwisho kuiona ilikuwa Fainali mwaka jana Qatar France Vs Argentina ..
Mechi mbovu sana ya leo, ilikuwa na makosa mengi mnoo ya kiufundi, wachezaji hawakuwa na umakini, wachezaji wa pande zote mbili. Yani mechi za NBC ni nzuri kuliko mechi ya leo.
 
Angalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Evidence
20230216_232423.jpg
 
Jamaa hata anasaidia kukaba hata hivyo mimi nina natumaini makubwa pale bado hatujapigwa hata kidogo ila ushirikiano mdogo anapata uwanjani.
Hili la ushirikiano mdogo hebu liache, ni mentality za kiafrika. Kama ulicheza mpira utaelewa huwezi kuacha kumpa mtu pasi eti kwa kuwa unamchukia. Ukiwa kwenye pressure ukiona jezi yoyote nyeupe iko kwenye position nzuri unatoa pass haraka bila hata kujua ni nani. Hajui kuji-position hajui akae wapi akiona mashambulizi yanaenda kwa adui. Kingine kinam-cost anarudi sana nyuma kukaba 'sio mvivu kama martial' kwa hiyo counter attack ikitokea anakuwa hawezi tena kuiwahi.
 
Angalia akipewa mpira hawez kuhold anapokonywa kiurahisi..
Urefu wake tulitegemeq mipira ya juu atakua ana win vzur lkn ndo kwanza anaikosa imagine anashindwa mpk na gavi kwmy kuwin aerial ball..
Ighalo alkua vizur sn kuliko huyu weghost
Sure
 
Uzi umetulia walikuwa wanatamani angalau tungepigwaa japo mechi ingekuwa haijamalizika nauhakika wangekuja kushambulia kupoza mchungu maana uzi huu mda haujavamiwa kwa mashambukizi makali kama ya jana Arsenal..
Jana tumewatesa sana arsenane kwenye uzi wao
 
Magoli yake mengi ni Mungu nisaidie piga nikupige, huwezi kutisha ulaya ukiwa na forward kama rashford, ngoja waarabu wachukue timu tusajiri wachezaji, sio hawa sijui fred, sijui Sancho uchafu mtupu.
Hivi wewe unaujua kweli mpira? soccer? Uliwahi kucheza?
 
Hamna kitu mule, kuna mwana yeye ni Liverpool tangu wakati rashford anaingia ingia kwenye kikosi mm nilikuwa namkubali sana ila jamaa akawa ananiambia hamna kitu mule nikawa nambishia, kwasasa nakubaliana naye 100% na ndiyo maana hata national team anaingia kibahati bahati tu Southgate keshamstukia.
Maajabu,
one of the top performer msimu huu halafu unasema ana bahatisha.
Basi na wew kacheze ST pale OT, ubahatishe hata goli 10. Utatusaidia sana maana hatuna ST.
 
Kusema kweli sikuwa na uhakika kama man utd angepishana na Barca hivi,nimefarijika sana na project ya EtH.

Hata anapokosekana mchezaji mmoja muhimu bado timu haikosi mwelekeo kama zamani na kuwa kichaka cha kufichia ubovu wa timu nzima na/au mwalimu. Interview zake anaanika mapungufu yaliyopo,ila yule rafiki yake DAEMUSHIN angeisha anza mambo ya "the boys..."

Huyu Erik tumpatieni mkataba mapema kama tajiri miluzi hajaweka dau maana keshasajili kila idara kasoro mwalimu ili timu kwake.
 
Back
Top Bottom