Ten hag atakuja kuwatesa sana watuComeooooooon!!!
Mbona wanitukana nimekukosea nini??Fvck off

Tulia uangalie soka, acha taarabu kiumeni hapa.Ila mnajua Sana kutetea wachezaji wenu...mnasema Anthony uwepo wake unafanya timu pinzani isipande,mara weghorst anawatisha mabeki.... Haya ndo majukumu Yao muhimu yaliofanywa wakasajiliwa.?.. aisee tutasikia mengi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
UEFA ya sasa hakuna sheria ya magoli ya ugenini kuna kuhesabiana kavu kavu.Haya magoli ya ugenini ni ya muhimu sana.
Huyu kaitafuta mwenyewe wakati mwingine tusimtetee.Casemiro njao nae
Hii sheria UEFA si walishaiondoa mkuuHaya magoli ya ugenini ni ya muhimu sana.