




Jordan Sancho ana utoto mwingi sanaKwa huu uzembe tupigwe tu hakuna namna ..
RashfordFvck...wametutangulia
UMejibiwa na upuuzi wa BisakaKwa sababu hujui mpira, Man United wanajitahidi kiwa narrow kwenye defence ili kupunguza through balls kwenda kwa Lewandoski na kudhibiti mikimbio ya kina Rafinha.
Fvck offNarudia tena kuna uhovyo kwenye ulinzi wa Barca. Ngoja nikalale mie
Kama ulivyosema, Rashid kawashangaza.Nimependa wachezaji wanavyojituma.
Lewandosky anahangaika tu lkn rashford akipata upenyo watashangaa wenyewe.
De jong anajitahidi man UTD tufeli. Japo Wana vipaji kibao lkn we will make it