adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,055
- 35,324
Bissaka hamna kitu asipoangalia atarudi kama kipindi kile mpaka tukamsahau.Kocha bora amuweke Dalot, Bissaka anapewa pasi za maana anashindwa kutulia kumwaga maji.
Bissaka hamna kitu asipoangalia atarudi kama kipindi kile mpaka tukamsahau.Kocha bora amuweke Dalot, Bissaka anapewa pasi za maana anashindwa kutulia kumwaga maji.
Karibu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .Rash jamani vipi tena hapa
Hapo ndio wachezaji wetu wanafail mimi ndio maana mpka sasa sijaona ubaya wa WeighorstKaribu timu nzima W.Ghost hata akae position nzuri hawampi pasi .
Wachezaji wenzake hawamuamini kabisa sijui kwa nini..Hapo ndio wachezaji wetu wanafail mimi ndio maana mpka sasa sijaona ubaya wa Weighorst