bissaka ukitoa yale maboko jamaaa anakaba bhanaWachezaji waliokuwa na mchezo mbovu sana leo..
1.Bissaka
2.Sancho
Best performance
1.De gea
2.Malacia
3.Fred
Rashford ni mchezaji wa hovyo sn, usimtegemee kabisa haaminiki. Ili apate goli moja anatakiwa apate nafasi kuanzia tano na kuendelea.Nimependa wachezaji wanavyojituma.
Lewandosky anahangaika tu lkn rashford akipata upenyo watashangaa wenyewe.
De jong anajitahidi man UTD tufeli. Japo Wana vipaji kibao lkn we will make it
Mechi ya leo pesa yako kibanda umiza imekwenda kihalali pira limechangamka mpaka usingizi unakata.Gemu ilikuwa ya moto mpaka unakosa muda wa kuja kuchangia jukwaani..
Asee camp nou ilisimaa leo..Maisha yamebadilika sana Barcelona wanashangilia Europa kama wendawazimu
Gemu ya leo ilikuwa moto sanaaAttempts
Barca 16
Man u 16
ningekosa ningejilaumu sanaaMechi ya leo pesa yako kibanda umiza imekwenda kihalali pira limechangamka mpaka usingizi unakata.
Hii ndio tofauti kubwa Kati yake na Mbappe ,ila leo nimependa ile chansi ya kwanza aliyoikosa jinsi alivyojikunjua vizuri .Tatizo la Rashford ni akishapata goli moja huwa ana relax ataka kujituma kabisa. Anatakiwa kujituma muda wote.
Huwezi tegemea wachezaji wenye mentality za kitoto wakupe ubingwa.Tatizo la Rashford ni akishapata goli moja huwa ana relax ataka kujituma kabisa. Anatakiwa kujituma muda wote.
hili swala sio la kulianzishia hapa ni kufungulia uzi kabisaWazee mmeona mapass ya Bruno lakini
Huyu anakuja OT hatokiNot bad.
Nguvu tuziamishie kwa Leicester City..Tumpige kama ngoma
Dogo anaujua mpira vilivyo, tatizo ni kujituma zaidiHii ndio tofauti kubwa Kati yake na Mbappe ,ila leo nimependa ile chansi ya kwanza aliyoikosa jinsi alivyojikunjua vizuri .
Mpeni sifa zake tuu jamaa anapambana ila kafunga goli gumu kwelHuwezi tegemea wachezaji wenye mentality za kitoto wakupe ubingwa.
Rashford alitakiwa aongwe na striker mwenye mentality ya kiutu uzima.
Binafsi huwa sinaga imani kabisa na Rashford. Naona kama ana akili za kitoto sana.
Dah jamaa unachuki na Yanga wewe, ukaona bora uongope kuliko kuitaja YangaHii style of play ya barca kwa sasa dunia nzima wanaicheza mpaka simba sports.....wanahitaji mbinu mpya kuja kutawala soka la ulaya







Mbappe umfananishe na rashfordHii ndio tofauti kubwa Kati yake na Mbappe ,ila leo nimependa ile chansi ya kwanza aliyoikosa jinsi alivyojikunjua vizuri .




