adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,063
- 35,345
Hii ndio tofauti kubwa Kati yake na Mbappe ,ila leo nimependa ile chansi ya kwanza aliyoikosa jinsi alivyojikunjua vizuri .Tatizo la Rashford ni akishapata goli moja huwa ana relax ataka kujituma kabisa. Anatakiwa kujituma muda wote.
