Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimependa wachezaji wanavyojituma.
Lewandosky anahangaika tu lkn rashford akipata upenyo watashangaa wenyewe.


De jong anajitahidi man UTD tufeli. Japo Wana vipaji kibao lkn we will make it
Rashford ni mchezaji wa hovyo sn, usimtegemee kabisa haaminiki. Ili apate goli moja anatakiwa apate nafasi kuanzia tano na kuendelea.
 
Tatizo la Rashford ni akishapata goli moja huwa ana relax ataka kujituma kabisa. Anatakiwa kujituma muda wote.
Huwezi tegemea wachezaji wenye mentality za kitoto wakupe ubingwa.

Rashford alitakiwa aongwe na striker mwenye mentality ya kiutu uzima.

Binafsi huwa sinaga imani kabisa na Rashford. Naona kama ana akili za kitoto sana.
 
Our Numero Uno
Screenshot_20230216_225221_Instagram.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom