Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niliangalia, ntasemaje tuliupiga mwingi kama sijauona shida yetu makosa madogo madogo yakafanya tupigwe ndoige za mapema/upande wa dalot na kati pale kkwa fred.

Natofautisha pira la rangnick la hovyo na hili tunalopiga sahizi.
Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuri
 
Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuri
Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.
 
Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.
Fred jana watu walitumia udhaifu wake... kumchezesha fred na sabitzer ni kama kuchezesha fred watatu uwanjani..
 
Sema jana tuliupiga mwingi sana hayo mengine makosa ya kawaida tu tulishindwa wenyewe kuua game kwa nafasi tulizopata.

Muhimu tuna uwezo wa kurudisha goal wakitutangulia sio kipindi cha rangnick tukiwekwa tu goal ujue nitolee io.
Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.

Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.

Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!

Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
 
Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.

Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.

Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!

Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
We mbona umefumuliwa malinda na Everton, nasisi tumetulia kimya tu kama hakijatokea kitu, unadhani hatuna habar yako?
 
Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.

Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.

Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!

Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
Hatukatai kama ni wabovu, sema kuna game na game wanakua vizuri ndio kama jana, waliipania ile game na wakatushangaza kweli.
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Jana ngapi ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom