Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuriNiliangalia, ntasemaje tuliupiga mwingi kama sijauona shida yetu makosa madogo madogo yakafanya tupigwe ndoige za mapema/upande wa dalot na kati pale kkwa fred.
Natofautisha pira la rangnick la hovyo na hili tunalopiga sahizi.

