dadamlamayao
JF-Expert Member
- Nov 1, 2022
- 243
- 843
kwa sababu sikojozwagi mapema kama Man UKwa nini unajiita "DADA MLA MAYAI"?
kwa sababu sikojozwagi mapema kama Man UKwa nini unajiita "DADA MLA MAYAI"?
kwa sababu sikojozwagi mapema kama Man U
Mpira uliangalia au umepitia higlights asubuhi?Sema jana tuliupiga mwingi sana hayo mengine makosa ya kawaida tu tulishindwa wenyewe kuua game kwa nafasi tulizopata.
Muhimu tuna uwezo wa kurudisha goal wakitutangulia sio kipindi cha rangnick tukiwekwa tu goal ujue nitolee io.
Huyu dogo me naona sio wakuanza, huyu ni wakuingia kipindi cha pili.Leo timu inacheza hovyo sana afu garnacho kila mpira anapoteza tu
Japo sikuiangalia hiyo game, lakini huyo jamaa mimi simkubali tu.Werghost hakuna anachotusaidia
Pale hata umlete Haaland ataishia kuzurura tu. Garnacho nafasi mbili za wazi kutoa tu pasi Weghorst ingekuwa kama kumsukuma mlevi.
Kama kocha anataka ushindi basi Werghost sio mchezaji wa kuanza, Rashford aachwe acheze kati.
Werghost tena??Jumapili tuanze hivi
GK - De gea
RB - AwB
CB - Varane
CB - Martinez
LB - Shaw
CDM - Lindelof
CM - Sabitzer
CAM - Fernandez
RW - Antony
LW - Sancho
CF - Rashford
Kama Antony hatokuwepo basi rashy aje kushoto, sancho kuria na weghorst kama ST
SureWerghost tena??
Hapo acheze Pellistri..Rash asimame katikati na Sancho kushoto..Kama Anthony hatokuwepo.
Kushakucha kijana, acha kuota utakunya kitandani.Sunday Leeds anabeba 3 points na maisha kuendelea
Hamna mchezaji mule, hata asipocheza hakuna tatizo.
Jana tuliupiga mpira mwingi sanaa, chances zilikuwa created sana, finishing yetu bado inashida, tunatengeneza nafasi nyingi lakini hakuna goli.Sema jana tuliupiga mwingi sana hayo mengine makosa ya kawaida tu tulishindwa wenyewe kuua game kwa nafasi tulizopata.
Muhimu tuna uwezo wa kurudisha goal wakitutangulia sio kipindi cha rangnick tukiwekwa tu goal ujue nitolee io.
Niliangalia, ntasemaje tuliupiga mwingi kama sijauona shida yetu makosa madogo madogo yakafanya tupigwe ndoige za mapema/upande wa dalot na kati pale kkwa fred.Mpira uliangalia au umepitia higlights asubuhi?
Naelewa kwanini 10 hag anamtaka sana de jong.Jana tuliupiga mpira mwingi sanaa, chances zilikuwa created sana, finishing yetu bado inashida, tunatengeneza nafasi nyingi lakini hakuna goli.
Leeds kwenye mashambulizi yao walitumia sanaa upande wa Dalot, alikuwa weak kwenye defensive yake, mipira mingi au naweza sema almost magoli yote yamepitia upande wake.
Fred nae aliboronga sana jana utafikiri alikula mrenda kabla ya mechi, anacheza vizuri dakika 2 alafu anazingua dakika 20.
bado United tunahitaji kiungo mwingine maana pengo la Casemiro na Eriksen linaonekana live bila chenga.
Garnacho nae miyeyusho tu, hua tunakimbiliaga kumlaumu Anthony ila huyu dogo ana kaujinga flani mara 100 ya Anthony, Sancho pamoja na kukaa nje muda mrefu ila impact yake jana ilikua kubwa sana, mechi ijayo 10 Hag inabidi amuanzishe tu kwenye 11st mambo ya fitness atayapatia humohumo dimbani.
Sambusa (Sabitzer) kidogo ndio usajili wenye afadhali tulioufanya kwenye dirisha dogo ila huyo Weghorst kusimama mbele hapana kama vipi arudishwe nyuma akasaidiane na kina varane tu.
Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuriNiliangalia, ntasemaje tuliupiga mwingi kama sijauona shida yetu makosa madogo madogo yakafanya tupigwe ndoige za mapema/upande wa dalot na kati pale kkwa fred.
Natofautisha pira la rangnick la hovyo na hili tunalopiga sahizi.
Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.Jana hamkucheza vizuri kivilee maana pass nyingi mlikua mnapoteza Rahford hakuwa katika ubora kwani alianzia kucheza akitokea kuria mmekuja kupata uwahi baada ya kuongia Sancho pale ndio mlianza kucheza vizuri
Fred jana watu walitumia udhaifu wake... kumchezesha fred na sabitzer ni kama kuchezesha fred watatu uwanjani..Uko sahihi game nyingi tunapoteza mipira kizembe sio hiyo tu, ndio maana hata zile sita za city tulibahatika tu ilibidi zizidi, tukiachana na hayo naongelea sana upande wa kutengeneza nafasi angalau kuna kitu kinaonekana tofauti na mwanzo.
Mkuu wewe ni nataka kusema tu ni msenge na ujui ushabiki unaona ushabiki ni kuongea kauli chafu.Mmevunja Rekodi kwa kuwa wa kwanza KUBONG'OLEWA NA KUKOJOZWA mapema sana tangu Ligi ianze
MLIKOJOZWA dakika ya kwanza,yaani hata Goli la fastafasta huwa haliji haraka vile,nyie ni MANYUMBU tuMkuu wewe ni nataka kusema tu ni msenge na ujui ushabiki unaona ushabiki ni kuongea kauli chafu.