Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
 
Ok tumeangusha point mbili, hapa ndipo unapoona timu inabidi iwe na kikosi kipana tusingesajili January sijui ingekuaje fred mwenyewe anachochezaga anajua mwenyewe miguu yake haina nguvu kabisa sijui nyeto, nafasi anapata mpira anaopiga sasa salaleeee.
 
Ok tumeangusha point mbili, hapa ndipo unapoona timu inabidi iwe na kikosi kipana tusingesajili January sijui ingekuaje fred mwenyewe anachochezaga anajua mwenyewe miguu yake haina nguvu kabisa sijui nyeto, nafasi anapata mpira anaopiga sasa salaleeee.
Fred nadhani anajichua yule, haiwezekani mchezaji awe na miguu ya isiyo na nguvu vile.
 
Baada ya kuona tu Leeds wana kocha mpya nilijua tu ktk hizi mechi mbili kuna moja hawa jamaa watatusumbua na sikutegemea kama itakuwa ya Old Trafford.

Leeds ni mahasimu wetu na mechi wakiwa kwao natarajia ndiyo itakuwa ngumu zaidi hasa baada ya kupata hii droo.
 
Baada ya kuona tu Leeds wana kocha mpya nilijua tu ktk hizi mechi mbili kuna moja hawa jamaa watatusumbua na sikutegemea kama itakuwa ya Old Trafford.

Leeds ni mahasimu wetu na mechi wakiwa kwao natarajia ndiyo itakuwa ngumu zaidi hasa baada ya kupata hii droo.
Kile Kitoto cha Leeds cheusi chenye matako makubwa kimemsumbua sana Dalot kilimgeuza uchochoro.
 
Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
Nyie hamfatilii timu yenu sasa ulitaka aanze na nani?
 
Back
Top Bottom