Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ok tumeangusha point mbili, hapa ndipo unapoona timu inabidi iwe na kikosi kipana tusingesajili January sijui ingekuaje fred mwenyewe anachochezaga anajua mwenyewe miguu yake haina nguvu kabisa sijui nyeto, nafasi anapata mpira anaopiga sasa salaleeee.
Fred nadhani anajichua yule, haiwezekani mchezaji awe na miguu ya isiyo na nguvu vile.
 
Baada ya kuona tu Leeds wana kocha mpya nilijua tu ktk hizi mechi mbili kuna moja hawa jamaa watatusumbua na sikutegemea kama itakuwa ya Old Trafford.

Leeds ni mahasimu wetu na mechi wakiwa kwao natarajia ndiyo itakuwa ngumu zaidi hasa baada ya kupata hii droo.
 
Baada ya kuona tu Leeds wana kocha mpya nilijua tu ktk hizi mechi mbili kuna moja hawa jamaa watatusumbua na sikutegemea kama itakuwa ya Old Trafford.

Leeds ni mahasimu wetu na mechi wakiwa kwao natarajia ndiyo itakuwa ngumu zaidi hasa baada ya kupata hii droo.
Kile Kitoto cha Leeds cheusi chenye matako makubwa kimemsumbua sana Dalot kilimgeuza uchochoro.
 
Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
Nyie hamfatilii timu yenu sasa ulitaka aanze na nani?
 
Kuna chance kilikuwa chenyewe na nyavu halafu kuna hiyo kilishindwa kutoa pass.

Kile kinapaswa kikaripiwe, ukiwa na Greenwood chances zote zile alishakupa point tatu.

Bring back Greenwood.
Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.

Sancho, Pellistri, Diallo, Martial ni wachezaji wazuri sana wanaocheza kama timu. Hata Greenwood kipindi anaanza kupata namba alikuwa na mambo hayahaya ila tofauti yake na Garnacho ana uwezo mkubwa wa kufunga. Sasa Garnacho anakaa na mali halafu hafungi.
 
Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
Angeanza Nani?
 
Ni bora tu aanze kivyohivyo hiyo fitness kama hakuipata mazoezini ataipatia humohumo dimbani kuliko kuanza na Garnacho.
Haipo ivyo kwa timu yenye hadhi kama ya man U ni ngumu maana kila mchezaji anaesajiriwa kwa timu kama man u ni mzuri,,halafu ETH alishasema sancho hatomwaisha kuanza kucheza leo yenyeww kamwaisha kutokana na injuries za timu pamoja na kadi ya casemiro
 
Back
Top Bottom