Tusingeanza na huyu ngongoti na Garnacho hii game tungeshinda vizuri tu.Garnacho na fred wametuangusha sana leo na nafikiri hakuna haja ya kuanza na huyu ngongoti anatuchelewesha tu
Hujajua tu wewe...asingekuwepo Fred unadhani baada ya Casemiro kuumia nani angecheza hapo kati..kapambana sana katibua tibua sana ukiacha makosa madogo madogo. Yule Dalot ndio utopolo mtupu.Garnacho na fred wametuangusha sana leo na nafikiri hakuna haja ya kuanza na huyu ngongoti anatuchelewesha tu
10 Hag sijui hua anafikiriaga nini kumuanzisha Garnacho?Tusingeanza na huyu ngongoti na Garnacho hii game tungeshinda vizuri tu.
Kuna chance kilikuwa chenyewe na nyavu halafu kuna hiyo kilishindwa kutoa pass.Kimekuwa kichoyo tu, kuna moja kingempasia WW alikuwa anatupia bila tatizo.
Timu mbovu ni Everton lakini iliwashikisha ukuta wa London Asenyani.Mnatoa sare na timu mbovu tena nyumbani kwenu halafu mnajiita title contenders!
Shenzi kabisa!
Ok tumeangusha point mbili, hapa ndipo unapoona timu inabidi iwe na kikosi kipana tusingesajili January sijui ingekuaje fred mwenyewe anachochezaga anajua mwenyewe miguu yake haina nguvu kabisa sijui nyeto, nafasi anapata mpira anaopiga sasa salaleeee.
Utopolo lakini ndie alietoa assist ya goli la kwanzaHujajua tu wewe...asingekuwepo Fred unadhani baada ya Casemiro kuumia nani angecheza hapo kati..kapambana sana katibua tibua sana ukiacha makosa madogo madogo. Yule Dalot ndio utopolo mtupu.




Kile Kitoto cha Leeds cheusi chenye matako makubwa kimemsumbua sana Dalot kilimgeuza uchochoro.Baada ya kuona tu Leeds wana kocha mpya nilijua tu ktk hizi mechi mbili kuna moja hawa jamaa watatusumbua na sikutegemea kama itakuwa ya Old Trafford.
Leeds ni mahasimu wetu na mechi wakiwa kwao natarajia ndiyo itakuwa ngumu zaidi hasa baada ya kupata hii droo.
Sio kwetu. Nyie mmeshikwa makalio kwenu.Timu mbovu ni Everton lakini iliwashikisha ukuta wa London Asenyani.
Sasa una mchezaji gani nje au hamjui timu yenu?10 Hag sijui hua anafikiriaga nini kumuanzisha Garnacho?
Huyu ni super sub wa uhakika ila akianza kweny 11st hua hana matokeo mazuri tunayo yategemea.
Ila hii timu hua inapenda kutusurprise sana kwenye mechi tusizo zitegemea.
Nyie hamfatilii timu yenu sasa ulitaka aanze na nani?Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
Malaya wa kimboka weweNamna gani tena wanangu Leeds wanajisahau hapa


Sancho hana match fitness mara ya mwisho sancho kucheza ni october unataka atoke huko sober house na kucheza?Mechi inayofata 10 Hag asipoanza na Sancho kwenye 11st sitamuelewa kabisa.
Lile goli tulilofungwa kabla ya dakika ya kwanza ndio linaweza kua goli la mapema zaidi Epl msimu huu 2022-2023.