Kajifunze kiswahili ndo uje kufadhahika vizuriBado hamuna sifa ya kugombea ubingwa mkikutana na timu zinazo press mnapoteana
Subirieni Kuna Oxford , reading, au Kila siku mcheze na kina bornamauth,forest
Ila kina Brentford,Leeds,Brighton ,fulham,astonvilla hawa muwabahatishe
Jamaa unaandika na kujijibu mwenyewe na kujichekea mwenye kweli mental health inatesa vijana.Leo analaumiwa Gamacho
Tuliposema sio mchezaji mlitukana
Mbona kama unatuchamba?Leo analaumiwa Gamacho
Tuliposema sio mchezaji mlitukana
Kwani hizi takataka jana zimecheza?!Jana ngapi ngapi mkuu?
Hahahahaha wamekojozwa dakika ya ngapi mkuu 🤣🤣🤣Mmevunja Rekodi kwa kuwa wa kwanza KUBONG'OLEWA NA KUKOJOZWA mapema sana tangu Ligi ianze
Mbona unaleta source za "the sun" broGreenwood kaanza mazoezi i hope to see him soon
Diamond aende mazishini,lakini nae alikuwa na tuhuma kumuua Girlfriend wake mwaka jana,isije ikawa kisasiShabiki lialia wa United toka 1996. Hataweza tena kuona Erik ten Hag atatufikisha wapi msimu huu pamoja na ubingwa wa 21.
#RIPAKA
View attachment 2513260